Uhaba wa nyanya Afrika Mashariki unasababishwa na nini?
Wakazi Afrika mashariki wamekuwa wakizungumzia kuadimika kwa nyanya siku za hivi karibuni. Katika baadhi ya masoko, nyanya inauzwa bei ya juu kuliko hata tufaha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ni kwa nini Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu?
Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu ya binadamu hospitalini - na mara nyingi jamaa na marafiki wa wagonjwa wanalazimika kuomba msaada wa watu kujitokeza kutoa damu.
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]
10 years ago
Michuzi
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki


11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Hali si shwari Afrika Mashariki’
RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha kuna...
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Tanzania kibonde Afrika Mashariki
Licha ya kupanda kwa nafasi nne na kuwa ya 136 katika ripoti ya viwango vya Fifa vilivyotolewa leo, Tanzania inashika nafasi ya mwisho kwa ubora wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Bunge la Afrika Mashariki lavunjika
 Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeanza kuonekana kufanana na Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Usalama wadhibitiwa Afrika Mashariki
Usalama umedhibitiwa vikali kanda ya Afrika Mashariki kufuatia tisho kutoka kwa kundi la wanamgambo wa kiisilamu wa Al Shabaab kushambulia nchi zenye wanajeshi wao Somalia
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Bajeti za mataifa ya Afrika Mashariki
Serikali za Afrika mashariki zimetumia kodi kuvitahadharisha viwanda vyake kwa upande mmoja na kuwapa motisha wananuzi wa bidhaa kutoka nje wanaosaidia sekta muhimu kama vile miundo mbinu,kawi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania