Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhaba wa nyanya Afrika Mashariki unasababishwa na nini?

Wakazi Afrika mashariki wamekuwa wakizungumzia kuadimika kwa nyanya siku za hivi karibuni. Katika baadhi ya masoko, nyanya inauzwa bei ya juu kuliko hata tufaha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

5 years ago

BBCSwahili

Ni kwa nini Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu?

Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu ya binadamu hospitalini - na mara nyingi jamaa na marafiki wa wagonjwa wanalazimika kuomba msaada wa watu kujitokeza kutoa damu.

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

10 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki

 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hali si shwari Afrika Mashariki’

RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi  yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha  kuna...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania kibonde Afrika Mashariki

Licha ya kupanda kwa nafasi nne na kuwa ya 136 katika ripoti ya viwango vya Fifa vilivyotolewa leo, Tanzania inashika nafasi ya mwisho kwa ubora wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Afrika Mashariki lavunjika

 Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeanza kuonekana kufanana na Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wadhibitiwa Afrika Mashariki

Usalama umedhibitiwa vikali kanda ya Afrika Mashariki kufuatia tisho kutoka kwa kundi la wanamgambo wa kiisilamu wa Al Shabaab kushambulia nchi zenye wanajeshi wao Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Bajeti za mataifa ya Afrika Mashariki

Serikali za Afrika mashariki zimetumia kodi kuvitahadharisha viwanda vyake kwa upande mmoja na kuwapa motisha wananuzi wa bidhaa kutoka nje wanaosaidia sekta muhimu kama vile miundo mbinu,kawi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani