Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uharamia wa kidemokrasia haukubadiliki

KUNAPOKUWA na viongozi wasiowajibika kwa waliowachagua, tegemea kuwa wananchi wanapowauliza maswali yenye kutaka kujua wanachokifanya kwa ajili yao; huwa au hugeuka mbogo. Hii inajitokeza wakati kauli ya Rais Jakaya Kikwete...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tuonyeshe ukomavu kidemokrasia

WAKATI Kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiwa zinaelekea ukingoni, tunawakumbusha wafuasi wa vyama na wa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Michuzi

maafisa wa serikali kutoka jimbo la Katanga nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo watua dar

Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe akiongea wakati wa kuwakaribisha ujumbe wa maafisa wa serikali kutoka jimbo la Katanga nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumatatu usiku katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere.  Wengine ni Naibu Gavana wa Jimbo hilo, Bw. Yav Guilbert (kushoto) na Waziri wa Uchukuzi wa Jimbo hilo, Bw. Kahozi Sumba (kulia). Ujumbe huo upo nchini kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uharamia umetokomezwa Somalia?

Uharamia katika pwani ya Somalia na kwingineko duniani umepungua kwa asilimia 40 katika miaka sita iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uharamia wapungua duniani

Halmashauri ya safari za baharini imetoa ripoti yake ikisema kuwa uharamia sasa unaripotiwa kusini mashariki mwa bara Asia

 

9 years ago

BBCSwahili

Uharamia bado tishio Somalia

Meja General Martin Smith Mkuu wa Operesheni ya uharamia katika eneo la Bahari ya Hindi amesema uharamia bado tishio somalia.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Nchi za Afrika ziungane kudhibiti uharamia’

 Ili kukabiliana na vitendo vya uharamia kwenye wa Bahari ya Hindi, nchi za Afrika zimetakiwa kuweka nguvu katika ushirikiano, kwa kuwa si rahisi nchi moja kudhitibi uhalifu huo unaofanya na watu wanaodaiwa kuwa ni raia wa Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ripoti:Uharamia unaweza kupungua Somalia

Utafiti unabainisha huenda uharamia ukapungua iwapo wazee wa koo za kisomali watapewa njia mbadala za kujikimu kimaisha

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA UJERUMANI ZAJADILIANA UHARAMIA DHIDI YA WANYAMAPORI

"Karibu" ndiyo anavyosema Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi wakati akimkaribisha mgeni wake Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Ujerumani katika Umoja wa Mataifa Balozi Harld Braun alipofika kwa mazungumzo katika Uwakilishi wa Tanzania siku ya jumatatu Januari 12, 2015.Wawakilishi hao wawili walizungumzia masuala mbalimbali yenye maslani kwa mataifa hayo mawili, na moja ya masuala hayo ni namna gani Tanzania na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani