Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uharibifu Amazon janga kwa Brazil

Mtaalamu wa masuala ya hali ya hewa ameiambia BBC kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya uharibifu wa mazingira katika msitu wa Amazon

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Miili 3 yapatikana Amazon Brazil

Viongozi wasema wamepata miili ya wafanyikazi watatu wa kampuni ya kusambaza umeme ya serikali waliotoweka mwezi Desemba

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Sasa iweje?' Jinsi rais wa Brazil anavyopuuza janga la Covid-19

Rais Jair Bolsonaro ametaja Covid-19 kuwa “mafua kidogo” na mara kadhaa kupuuza hatua ya kutokaribiana. Lakini tamko lake la hivi karibuni limezua ghadhabu miongoni mwa hata wafuasi wake.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Mechi Brazil, Argentina yasubiriwa kwa hamu

>Mechi inayosubiriwa kwa hamu zaidi na mashabiki wa soka hapa ni Brazil na Argentina kama zitafanikiwa kutinga fainali za Kombe la Dunia katika pambano litakachezwa Julai 13  kwenye Uwanja wa Maracana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu

Mwanamuziki maarufu wa Marekani Justin Bieber amekiri kosa la kufanya uharibifu katika nyumba ya jirani yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa ICC kwa uharibifu wa maeneo ya kihistoria

Mwanamgambo mmoja wa kiislamu anayeshukiwa kuharibu maeneo ya kihistoria na kitamaduni katika mji wa Timbuktu nchini Mali, amepelekwa katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC kukabaliana na mashtaka yanayohusu uhalifu wa kivita

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Chekimaji wailaumu halmashauri ya Hai kwa Uharibifu wa Mashamba Ya Mpunga

Wakazi wa Kijiji cha Chekimaji wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kushindwa kuwashirikisha katika ujenzi wa mradi wa Barabara yenye urefu wa kilomita 30 inayojengwa kwa kiwango cha Moramu kwa gharama ya shilingi bilioni 1.4.

Malalamiko hayo yanakuja kutokana na uharibifu mkubwa wa mashamba ya Mpunga baada ya ujenzi wa barabara hiyo inayopita katikati ya mashamba hayo kuanza mara moja.

Katika mkutano maalumu uliowakutanisha wakulima wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Falsafa ya maisha ni janga sugu kwa wazawa

DHANA ya maisha ni pana sana, hadi inaleta ubishani kwa wanaojitahidi kufasiri dhana hiyo. Lakini ukweli ni kwamba kila mmoja hufasiri dhana hiyo kulingana na upeo wa maisha yake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani