Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhuru, Kagame kuongoza mkutano wa kibiashara EAC

 Rais Paul Kagame wa Rwanda na Uhuru Kenyatta wa Kenya leo wataongoza mkutano wa kibiashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojumuisha wafanyabiashara maarufu katika jumuiya hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Makinda kuongoza mkutano Maspika EAC

Spika wa Bunge, Anna Makinda.SPIKA wa Bunge, Anne Makinda leo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa siku moja wa Maspika wa Mabunge kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika, utakaofanyika jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA

Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

 

11 years ago

Michuzi

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta engages EAC

The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta addresses EAC Staff as Amb Sezibera and Chair of the Council hon. Phyllis Kandie looks on
----------------------------------------------  The Chairperson of the Summit of the EAC Heads of State and President of the Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta, last evening engaged the staff of the Organs of the Community namely; the EAC Secretariat, the East African Legislative...

 

10 years ago

Mwananchi

EAC yapiga hatua utangamano wa kibiashara

Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimepiga hatua kubwa kuelekea utangamano miongoni mwao kwa kuridhia na kutekeleza mikataba na makubaliano mengi mwaka 2014 kulinganisha na mwaka juzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete ataka NHC ipewe uhuru zaidi kibiashara

Rais Jakaya Kikwete amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa ujenzi wa nyumba bora na kusema shirika hilo litapata maendeleo zaidi ikiwa litaruhusiwa kuuza nyumba linazojenga kwa wageni.

 

11 years ago

Mwananchi

JK kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru leo

‘Happy birthday Tanganyika’. Miaka 52 imetimia tangu Tanganyika (sasa Tanzania), kupata uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza, Desemba 9, mwaka 1961.

 

9 years ago

The Star

Uhuru, Kagame, M7, not yet congratulated Magufuli


The Star
Uhuru, Kagame, M7, not yet congratulated Magufuli
The Star
The refusal by the Tanzanian opposition to concede defeat in the presidential election is one of the reasons President Uhuru Kenyatta has not congratulated President-elect John Magufuli. CCM candidate Magufuli was declared winner six days ago, but ...

 

10 years ago

Habarileo

Kagame ahimiza ujenzi wa miundombinu EAC

Rais wa Rwanda, Paul KagameRAIS Paul Kagame wa Rwanda amezisihi nchi za Afrika Mashariki zinazounda Ukanda wa Kati kutekeleza kwa vitendo mradi wa ujenzi wa miundombinu unaounganisha Ukanda wa Kati.

 

10 years ago

TheCitizen

JK, Kagame break the ice at EAC summit

Heart-warming gestures by President Jakaya Kikwete and President Paul Kagame of Rwanda injected hope of a new beginning in the strained relations between the two countries during the East African Community (EAC) Heads of State Summit here yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani