Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhuru, Kagame, M7, not yet congratulated Magufuli


The Star
Uhuru, Kagame, M7, not yet congratulated Magufuli
The Star
The refusal by the Tanzanian opposition to concede defeat in the presidential election is one of the reasons President Uhuru Kenyatta has not congratulated President-elect John Magufuli. CCM candidate Magufuli was declared winner six days ago, but ...

The Star

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uhuru, Kagame kuongoza mkutano wa kibiashara EAC

 Rais Paul Kagame wa Rwanda na Uhuru Kenyatta wa Kenya leo wataongoza mkutano wa kibiashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojumuisha wafanyabiashara maarufu katika jumuiya hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI MGENI RASMI UFUNGUZI WA KAGAME

Waziri wa Ujenzi nchini Tanzania, John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame siku ya Jumamosi, Julai 18 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Magufuli baada ya kufungua rasmi michuano hiyo, atashuhudia mchezo wa ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kagame, mechi itakayowakutanisha miamba ya Afrika Mashariki timu ya Yanga dhidi ya Gor Mahia kutoka nchini Kenya.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kuanza kutimua vumbi siku ya jumamosi kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Museveni, Kagame na Mugabe walijisikiaje kuhudhuria Magufuli akiapishwa?

297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c

Watu wengi tumekuwa tukifikiri kwamba kwanini Marais hawa hawaoni aibu pale ambapo wenzao wanaoingia madarakani na kuondoka wao wakiwa wamebakia palepale kwenye hayo madaraka?

_86532078_0a3754dc-e05a-477f-a135-1541670339ca

Inawezekana wamekuwa wanafunzi ambao hawawezi kuelewa somo wakidhani ya kuwa wao ni marais wa kudumu kwenye nchi zao. Kitu kingine ambacho inawezekana hawaelewi kwanini Tanzania marais wanaondoka madarakani bila kuwa ving’anga’nizi kama wao?

Viongozi hawa wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuwawezesha wengine kuweza...

 

9 years ago

The Star

Let Uhuru become like Magufuli, but...


Let Uhuru become like Magufuli, but...
The Star
Kenyans are aghast online at the Tanzanian Tornado that is newly installed President John Magufuli. In a flurry of executive decisions and actions, President Magufuli has fired officials on the spot and banned foreign trips that are not approved by him ...
Keeping officas on toes- Kenya should employ Magufuli tacticsThe Standard Digital News (satire) (press release) (registration) (blog)

all 2

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli afuta sherehe za Uhuru

Magufuli+PHOTO*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi

*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.

 

NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Ziara hiyo, ililenga...

 

10 years ago

TheCitizen

JK reassures Uhuru over Magufuli, Raila

President Jakaya Kikwete yesterday allayed fears that his preferred successor, Dr John Magufuli, was likely to work closely with the opposition coalition in Kenya if he wins in the October 25 General Election.

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli actions give Uhuru new meaning

It is Tanzania’s 54th independence anniversary today. But unlike in the last 53 years ago there is no pomp and colour to mark the day.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI NA UHURU KENYATTA WAYAMLIZA

  “Juzi nilipigiwa simu na Kenyatta nikiwa bado Chato, akanipa pole na kujielezea mambo ya corona kidogo, leo pia mimezungumza nae pia, kuna kimgogoro kule mpakani mwa Kenya, Kenya ni Marafiki zetu, corona isiwe chanzo cha migogoro, sisi Marais tumeyamaliza”-Rais Magufuli akiwahutubia Wananchi Singida.

“Mimi na Kenyatta tumeongea kwenye simu tumeyamaliza, naagiza ndani ya wiki hii, Waziri wa Uchukuzi na Timu yake wakakutane na Waziri wa Kenya kule mpakani wakiwa na Wakuu wa Mikoa ya mipakani...

 

9 years ago

The Standard Digital News (Satire) (Press Release) (Registration) (Blog)

Uhuru should act like Magufuli to end graft


The Standard Digital News (satire) (press release) (registration) (blog)
Uhuru should act like Magufuli to end graft
The Standard Digital News (satire) (press release) (registration) (blog)
It's barely a month since John Magufuli was inaugurated as the fifth president of Tanzania. Apparently, what he has done in the short time is amazing. President Magufuli has already displayed abundant zeal for austerity and impatience in uprooting ...
Tanzania sacks top transport officials in graft...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani