Makinda kuongoza mkutano Maspika EAC
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda leo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa siku moja wa Maspika wa Mabunge kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika, utakaofanyika jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uhuru, Kagame kuongoza mkutano wa kibiashara EAC
 Rais Paul Kagame wa Rwanda na Uhuru Kenyatta wa Kenya leo wataongoza mkutano wa kibiashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaojumuisha wafanyabiashara maarufu katika jumuiya hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5CT2yce2Uqe2DpXXN-iSJuIIOC8yAHR*A-MEHr3k4yoxYItbmATV3VNQuOksYocY2E7IBTEQfHX9wZoOItISVLq/makinda.jpg?width=650)
MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA
Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda. Na Owen Mwandumbya, Lusaka Zambia Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Makinda kuongoza ujumbe wa Bunge la SADC kumzika Rais Sata Lusaka , Zambia
![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika katika viwanja vya Makumbusho Mjini Lusaka, Zambia. Katika ujumbe...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s72-c/FullSizeRender%2B(3).jpg)
MHE: SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s1600/FullSizeRender%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0fW1txbuMs/VGsWPAbgEYI/AAAAAAADNqI/V5p74UwWg9U/s1600/FullSizeRender%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-az9I71CyCTI/VGsWPxLQDgI/AAAAAAADNqM/mEQ1s3-i3lQ/s1600/FullSizeRender%2B(5).jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O3r-Rqupdlc/VGqhxknn0wI/AAAAAAAGx-0/-NNsf9g52ac/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MHE.SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
Na Mwandishi Maalum, New York Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia wa Maspika wa Mabunge, jana jumatatu, imeanza mkutano wake wa pili na wa siku mbili unaofanyika hapa Umoja wa Mataifa. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ( Mb) ni miongoni mwa washiriki wa Kamati hiyo ya Maandalizi ukiwahusisha maspika kadhaa kutoka mabunge mbalimbali duniani.Katika mkutano huo wa siku mbili ambao umeandaliwa na Inter-Parliamentary Union ( IPU),...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68Xggv8vEb*aundMkHJQUqIlUVvVd4BHuVJCPwpd6dcXMiLUJxBwMo*0Fxh0fLCksunI17UhHjLsPveGkaXQf-FEHP/spika1.jpg?width=650)
SPIKA ANNE MAKINDA AWASILI ARUSHA, AKAGUA UKUMBI UTAOTUMIKA KATIKA MKUTANO WA 45 WA MABUNGE WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA
Spika wa Bunge, Mhe Anne Makinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe Magese Mulongo (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Arusha, jana tayari kwa kuhudhuria Mkutano wa 45 wa Mabunge wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Bara la Afrika utakaoanza tarehe 20 hadi 27 Julai Mjini Arusha .
Spika wa Bunge, Mhe Anne Makinda akipewa maelezo na Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H_oCY5WyiJ8/U8mibF2owSI/AAAAAAAF3nk/l2EA8aIgNAA/s72-c/Spika+akiwasili+Arusha+(1).jpg)
SPIKA ANNE MAKINDA AWASILI ARUSHA, AKAGUA UKUMBI UTAOTUMIKA KATIKA Mkutano wa 45 wa Mabunge wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Bara la Afrika u
![](http://4.bp.blogspot.com/-H_oCY5WyiJ8/U8mibF2owSI/AAAAAAAF3nk/l2EA8aIgNAA/s1600/Spika+akiwasili+Arusha+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSp3XrGLA-c/U8midzZYHaI/AAAAAAAF3nw/jOZkK1uCSdw/s1600/Spika+akikaguwa+ukumbi.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMP3d4u4wT8/VeQIHtZkDVI/AAAAAAAH1K8/5DITY-acCMQ/s72-c/20806842438_1c4f3f68cd_z.jpg)
MASPIKA WA MABUNGE DUNIANI WAKUTANA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMP3d4u4wT8/VeQIHtZkDVI/AAAAAAAH1K8/5DITY-acCMQ/s640/20806842438_1c4f3f68cd_z.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZvrR2_Ohcfc/VeQIHobPn0I/AAAAAAAH1Kw/Hn_NoLZou-s/s640/20374306973_b5f24fd1d9_z.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania