UJENZI WA BARABARA YA MKATO YA JANGWANI-KIGOGO NIAJE?
Barabara mpya ya mkato inayokatiza Jangwani na kutokea Kigogo jijini Dar es salaam ambayo ina miaka kadhaa haijaisha na kuzua maswali yasiyo jibu hadi leo. Barabara hii inayojengwa kupunguza msongamano katika barabara za Morogoro road na Uhuru road hadi sasa imekamilika nusu tu, sehemu za Jangwani. Baada ya kufuatilia swala hili Globu ya Jamii imepata taarifa za uhakika kwamba kuna baadhi ya wamilliki wa majengo yanayotakiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Manispaa wakawiza ujenzi Jangwani City
UONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema Manispaa ya Ilala inakwaza mchakato wa ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa wa klabu hiyo unaotarajiwa kujengwa ulipo wa zamani wa Kaunda ambao baada...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K2VU0KDVTWE/XkWj18g6DvI/AAAAAAALdUI/HLdOghcw0pEt27fnerprJN89M2xBnpuZwCLcBGAsYHQ/s72-c/0586e112-8f7a-4e02-95b9-7c4822401e48.jpg)
Mweli afanya ziara kukagua ujenzi wa mabweni Sekondari ya Jangwani, Aagiza kukamilika ndani ya mwezi mmoja
Mweli ameonyesha kufurahishwa na hali hiyo alipokwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni hayo pamoja na miundombinu mingine inayoendelea kukarabatiwa katika shule hiyo.
Akizungumza katika ziara hiyo Mweli amesema mabweni hayo mawili yatakua na uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 kila moja hivyo wanafunzi 160 wakike...
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ujenzi wa barabara Serengeti wazuiwa
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ujenzi Barabara Korogwe wakamilika
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Kikwete akizungumzia ujenzi wa barabara
11 years ago
Mwananchi19 Jan
PM ataka ripoti ya ujenzi wa barabara