Ujenzi wa barabara ya Mwenge-Morocco waanza
SIKU moja baada ya Rais John Magufuli kuamuru fedha zilizotengwa kwa ajili ya sherehe za Uhuru zikajenge barabara ya Bagamoyo kipande cha kilometa 4.3 cha Mwenge – Morocco, jijini Dar es Salaam, ujenzi huo umeanza jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA


9 years ago
Michuzi
9 years ago
MichuziFEDHA ZA 9 DISEMBA ZAANZA UJENZI WA KUPANUA BARABARA MWENGE-MOROCCO JIJINI DAR
9 years ago
Habarileo03 Dec
Ujenzi wa Mwenge-Morocco kukamilika miezi 6
UJENZI wa Barabara ya Bagamoyo kipande cha kutoka Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam, chenye urefu wa kilometa 4.3, kinatarajia kukamilika ujenzi wake ndani ya miezi sita.
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jul
Bongo tambarare: Maendeleo ya Ujenzi wa Barabara ya Morocco road
9 years ago
Michuzi
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar

Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
10 years ago
Habarileo30 Dec
Ujenzi barabara ya Wete waanza tena
UJENZI wa barabara ya Wete-Konde ambayo awali ujenzi wake ulisimama kwa muda, kutokana na ucheleweshwaji wa fedha, hivi sasa umeanza tena baada ya kuwepo makubaliano mapya na mkandarasi wa barabara hiyo.