Ujerumani yashangazwa na Poland
Matokeo ya Mechi za kuwania kufuzu kwa Dimba la Taifa Bora Ulaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Dec
Serikali yashangazwa na kilio cha sukari
SERIKALI imesema inashangazwa na madai ya kurundikana kwa bidhaa ya sukari kwenye maghala wakati ipo mikoa yenye uhaba wa sukari.
10 years ago
TheCitizen16 Sep
Poland eyes investment in TZ
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-035ebxJUj3E/VgqIUuoRvoI/AAAAAAAH7vg/ZdMftU6FbWU/s72-c/download.jpg)
TANZANIA NA POLAND KUKUZA KILIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-035ebxJUj3E/VgqIUuoRvoI/AAAAAAAH7vg/ZdMftU6FbWU/s640/download.jpg)
Na Eleuteri Mangi MAELEZO 29/09/2015Serikali ya Tanzania na Poland zimeingia makubaliano ya ushirikiano yatakayosaidia kukuza sekta ya kilimo kwa kuwawezesha wakulima kupata zana bora za kilimo kupitia Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland itakayoanza kufanya kazi zake nchini Tanzania mwanzoni mwa mwaka 2016.
Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa mkutano wa makubaliano hayo kati ya Serikali ya Tanzania na ujumbe...
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kanisa Katoliki kortini Poland
11 years ago
BBCSwahili31 Jul
Celtics yaambulia kichapo Poland
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Upinzani wapata ushindi mkubwa Poland
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Poland na Slovakia zakataa kupokea wakimbizi
10 years ago
Dewji Blog13 May
Pinda akutana na wawekezaji toka Poland
Waziri mkuu, Miengo Pinda akizungumza na wawekezaji na watalaamu wa kujenga vihenge vya kisasa na vyenye uwezo wa kuhifadhi tani nyingi za nafaka hasa mahindi ambao wanatarajia kujenga vihenge hivyo hapa nchini. Watalaamu na wakezaji hao kutoka Poland ambao wakulikutana na Waziri Mkuu mjini Dodoma Mei 12, kutoka kushoto ni Honorta Maslowsk, Witold Karczewski ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara waPolland na Aleksandar Zingman. (Picha na Ofisi ya Waziri...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Pinda akutana na Rais Mstaafu wa Poland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao kati ya ujumbe wa Tanzania na ujumbe wa Poland aulioongozwa na Rais Mstaafu wa nchi hiyo Lech Walesa (kushoto) katika hafla ya utiaji saini makubaliaono ya mkopo nafuu ambapo Tanzania itapokea Matrekta kutoka Poland yatakayounganishwa na SUMA JKT hapa nchini. Utiaji saini huo ulifanyika kwenye Makao Makuu ya JKT Mlalakuwa jijini Dar es slaam Oktoba 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais mstaafu wa...