Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujue uhusiano wa Jeshi la Polisi na watetezi wa haki za binadamu

HIVI karibuni Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) ulifanya mkutano wa siku moja uliowakutanisha maofisa waandamizi 30 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Mkutano huo ulilenga kutafuta mahusiano mazuri kati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kushirikiana na watetezi wa haki za binadamu

JESHI la Polisi nchini limeahidi kufanya kazi kwa ukaribu na watetezi wa haki za binadamu ili waweze kutekeleza majukumu yao katika hali ya usalama. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu

MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UB yawaasa watetezi haki za binadamu

CHUO Kikuu cha Bagamoyo (UB), kimewataka washiriki 10 wa mafunzo ya utetezi wa Haki za Binadamu na Utawala wa Sheria kutoka nchi za Afrika Mashariki ( EAC), kuhakikisha wanashiriki mafunzo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

IIED: Watetezi haki za binadamu wasaidiwe

JAMII imeshauriwa kutoa msaada kwa watetezi wa haki za binadamu katika maeneo yao ili kujenga misingi bora. Ushauri huo umetolewa jana jijini hapa na Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

THRDC na harakati za kutetea watetezi wa haki za binadamu

MTETEZI wa haki za binadamu ni mtu yeyote ambaye amejitolea kupinga dhuluma na uonevu dhidi ya binadamu. Kuwa mtetezi wa haki za binadamu hakuhitaji kuwa na shahada wala stashahada kama...

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yatakiwa kutekeleza mapendekezo 107 ya  Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu

Tanzania umeitaka Serikali kuyafanyia kazi mapendekezo 107 yaliyotolewa na wadau wanaosimamia haki za binadamu.

Wamesema ni muhimu Serikali ikubali mapendekezo hayo ili kuhakikisha sheria mbalimbali zinatekelezwa na kuzipa fursa asasi za kiraia kufuatilia na kuwasaidia wananchi kuzifahamu sheria hizo.

Akizindua Ripoti ya Utekelezaji wa mapendekezo 107 ya Haki za Binadamu Tanzania, Mkurugenzi wa Tume za Haki za Binadamu, Onesmo- Olengulumwa amesema Serikali imeyatekeleza mapendekezo hayo kwa...

 

10 years ago

Michuzi

TUME ya haki za binadamu yatoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Mhe. Bahame Nyanduga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF huko Mtoni Mtongani Temeke, Dar es sa Salaam.Picha na Eliphace Marwa-MAELEZO---Na PIUS YALULA - MAELEZOTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imelaani vitendo vya uzalilishaji vilivyofanywa kwa Viongozi wa Chama cha Wananchi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!

DSC_1095

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu   kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani