UJUMBE MWANANA KUTOKA SIKONGE TABORA

Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
MKUTANO WA MH MBOWE SIKONGE, TABORA



11 years ago
Dewji Blog15 May
Kinana ziarani Sikonge Tabora
-Asema Vijana wa Pathfinders Green City ni mfano wa kuigwa.
-Awataka wilaya zingine nchi kuiga mfano huo kwani utasaidia sana katika kuharakisha maendeleo kwa vijana,kuwajenga katika misingi bora ya mshikamano
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa taji la maua wakati wa mapokezi alipowasili kwenye Kata ya Pangale wilaya ya Sikonge mkoani Tabora ambapo anategemewa kufanya ziara ya siku 2 katika wilaya ya Sikonge.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Kinana aunguruma Sikonge — Tabora na kukagua ujenzi wa jengo la upasuaji
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Mgambo kitongoji cha Lukula kata ya Kitunda wilayani Sikonge mkani Tabora ambapo aliwaomba radhi wakulima wa Tumbaku kwa kadhia waliyo nayo kutokana na kunyonywa na kutopata haki zao za malipo kwa miaka 3.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Mbunge wa Jimbo la Sikonge Said Mkumba wakiwasomea wananchi wa kijiji cha Lukula maeneo yatakayopata umeme mwaka huu katika wilaya ya Sikonge.
Mbunge wa...
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Magufuli aendelea na mikutano yake ya kampeni Wilaya ya Sikonge, Kaliua, Ulyankulu na Urambo mkoani Tabora

wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa
kampeni. PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA



10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI WILAYA YA SIKONGE,KALIUA,ULYANKULU NA URAMBO MKOANI TABORA




11 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi20 Aug
WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA

Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10