Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa Bi. Irina Bokova, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Siku ya Bahari Duniani

Irina_Bokova

Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.

DUNIA endelevu haiwezi kuwapo kama hakutakuwepo na bahari yenye kuendeleza uhai.

Miezi michache kabla ya kufanyika  kwa kongamano la kihistoria  la COP21 (21st Conference of the Parties to the United Nations Framework Convention on Climate Change) la kutengeneza ajenda mpya ya maendeleo endelevu, ujumbe huu ulikuwa hauna tija.

Lakini sasa ujumbe huu una tija sana na muhimu sana.

Iwe nchi iko mbali na bahari au karibu, kila nchi na kila aina ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI

Irina_Bokova1Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
"Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Message from Ms Irina Bokova, Director-General of UNESCO, on the occasion of World Environment Day

Irina_Bokova

Director-General of UNESCO. Irina Bokova.

Seven Billion Dreams. One Planet. Consume with Care.

We live in a world transforming deeply, rocked by multiple crises, on a planet facing rising pressure.

Environmental change has never been so deeply interconnected with our societies as it is today, in this era that many scientists call the Anthropocene, when human activity is the major force shaping the planetary system. The impact that individual women and men are having on the sustainability of...

 

10 years ago

Dewji Blog

Message from Ms Irina Bokova, Director-General of UNESCO, on the occasion of International Day of the World’s Indigenous Peoples, 9 August 2015

Irina_Bokova1

Director-General of UNESCO, Ms Irina Bokova.

International Day of the World’s Indigenous Peoples is the perfect opportunity to emphasize indigenous peoples’ vital contribution to the implementation of sustainable solutions for tackling development challenges, from the management of natural resources to the fight against climate change.

Promoting the cultures, the languages and the knowledge of indigenous peoples is an essential part of UNESCO’s action. We know that respecting knowledge...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNESCO yatoa ujumbe kuhusiana na Siku ya Sayansi Duniani

science

Irina_Bokova1

Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa  kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.

Mkurugenzi  Mkuu wa UNESCO , Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake,  juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:

“Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAONESHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI

 Wananchi mbalimbali wakiwa katika banda la Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), katika maonyesho ya siku ya bahari duniani yanayoadhimishwa kitaifa Mkoani Mtwara Leo, Asubuhi.  Wananchi mbalimbali wakipewa machapishi na mtaalam wa Mamlaka ya  Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA), wakati walipotembelea banda la Mamlaka hiyo leo asubuhi, wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari duniani yanayoadhimishwa kitaifa mkoani Mtwara.(Habari Picha na Kitengo cha Mawasiliano...

 

9 years ago

Vijimambo

Makamu wa Rais Mgeni Rasmin Siku ya BAHARI Duniani Mkoani Mtwara leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mkiundombinu Zanzibar Nafisa Madai alipotembelea mabanda ya maonesho kwenye kilele cha siku ya Bahari Duniani iliyofanyika kitaifa leo Sept 22,2015 katika Viwanja vya Bandari Club Mtwara.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata maelezo kutoka kwa msemaji kikosi cha zimamoto Edward kazingoma juu ya utendaji kazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO amtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo

DSC_0206

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues (katikati) akiongozana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) baada ya kuwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi. Kushoto ni Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph.

DSC_0209

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi akimkaribisha...

 

10 years ago

GPL

MKURUGENZI MKAZI WA UNESCO AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA LEO‏

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues (katikati) akiongozana na msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) baada ya kuwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi. Kushoto ni Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin...

 

9 years ago

Vijimambo

MH. ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA

Sehemu  ya wajumbe wa Mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani, uliofanyika Kitaifa mkoani Mtwara,leo mchana, wakisikiliza mada mbalimbali zinazohusu changamoto na mikakati ya kuboresha mazingira ya Usafiri wa Majini. Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil, akitoa shukrani zake kwa Ushirikiano unaoonyeshwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika sekta ya Uchukuzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani