UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
"Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
UNESCO yatoa ujumbe kuhusiana na Siku ya Sayansi Duniani
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO , Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
“Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ujumbe wa Bi. Irina Bokova, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Siku ya Bahari Duniani
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
DUNIA endelevu haiwezi kuwapo kama hakutakuwepo na bahari yenye kuendeleza uhai.
Miezi michache kabla ya kufanyika kwa kongamano la kihistoria la COP21 (21st Conference of the Parties to the United Nations Framework Convention on Climate Change) la kutengeneza ajenda mpya ya maendeleo endelevu, ujumbe huu ulikuwa hauna tija.
Lakini sasa ujumbe huu una tija sana na muhimu sana.
Iwe nchi iko mbali na bahari au karibu, kila nchi na kila aina ya...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO amtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues (katikati) akiongozana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) baada ya kuwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi. Kushoto ni Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi akimkaribisha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_02062.jpg)
MKURUGENZI MKAZI WA UNESCO AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA LEO
11 years ago
Michuzi15 Feb
10 years ago
Michuzi17 Dec
NAIBU MKURUGENZI MKUU WA UNESCO AWASILI JIJINI ARUSHA KUSHIRIKI MAHAFALI TAASISI YA MANDELA
![DSC_0499](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_04991.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iFZcrmAoqtI/XuN-XZ9fSCI/AAAAAAALtls/-AwVXnj92FM0T4Tei3zcKUhLnH2l9mtVQCLcBGAsYHQ/s72-c/jpm.png)
UJUMBE WA SADC KUELEKEA SIKU YA UELEWA KUHUSU UALBINO DUNIANI
JUMUIYA ya Maendeleo kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imeungana na wanajamii kote duniani katika maadhimisho ya siku ya uelewa kuhus watu wanaoishi na ualbino inayoadhimishwa kila Juni 13 na hiyo ni kufuatia maazimio ya mkutano mkuu wa 69 wa umoja wa mataifa ambao iliazimiwa ushiriki wa kila nchi mwanachama katika kulinda na kuhifadhi haki za watu wenye ualbino katika maisha, utu, ulinzi na nchi wanachama walishauriwa kutumia siku hiyo kwa kujenga uelewa kwa...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Unilever Duniani
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s72-c/New+Picture+(5).png)
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI ZIARANI NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lP5YaIAqM08/UyGzmx-sw3I/AAAAAAAFTa4/RJ49m-Q1Dsc/s1600/New+Picture+(6).png)