UJUMBE WA TAASISI YA KIJERUMANI YA HANNS SEIDEL FOUNDATION WAITEMBELEA OFISI YA RAIS,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwakaribisha ofisini kwake Mkuu wa Taasisi ya Ujerumani iitwayo Hanns Seidel Foundation kwa Afrika na ukanda wa Sahara Bw. Claus Liepert (wa pili kushoto) pamja na mwakilishi mkazi wa taasisi hiyo hapa Tanzania Bi. Julia Gabler (wa kwanza kushoto).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Taasisi ya Hanns...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7O7bbezVtkI/VNJvQAMFcvI/AAAAAAAHBxw/GpZ971lciBA/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
ujumbe wa Taasisi ya Kijerumani ya Hanns Seidel Foundationwatembelea Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7O7bbezVtkI/VNJvQAMFcvI/AAAAAAAHBxw/GpZ971lciBA/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hwAZX927KBA/VNJvQH-8EPI/AAAAAAAHBx4/2rSEfkFmhFo/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA
11 years ago
Michuzi30 Apr
TAARIFA YA MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTUMISHI HOUSE 8 BARABARA YA KIVUKONI 11404 DAR ES SALAAM au PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT UTUMISHI HOUSE 8 KIVUKONI ROAD 11404 DAR ES SALAAM
Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vZXgrZXtXG4/VgetJWXHjwI/AAAAAAAH7XQ/eeh4924OkKw/s72-c/cc.png)
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma yaomboleza msiba wa marehemu Celina Kombani
![](http://2.bp.blogspot.com/-vZXgrZXtXG4/VgetJWXHjwI/AAAAAAAH7XQ/eeh4924OkKw/s640/cc.png)
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepata msiba wa kuondokewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe. Celina O. Kombani (Mb) aliyefariki tarehe 24 Septemba, 2015 katika Hospitali ya Apollo nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-tZ8nNigetHw/VgeuiubJLnI/AAAAAAAH7Xc/BUcyYMMQn5w/s400/1b.jpg)
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAWAAGA WATAALAMU 6 WALIOMALIZA MUDA WA KUJITOLEA HAPA NCHINI
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO
5 years ago
Bongo514 Feb
Wabunge waridhishwa na utendaji kazi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora
Waheshimiwa wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nyakati tofauti wameelezea kuridhishwa kwao na utendaji wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora na taasisi zake kwa kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi.
Taarifa iliyotelewa Alhamisi hii na Ofisi ya Rais Menejimenti ya umma na Utawala bora, imeandika kuwa wabunge wameridhishwa na utendaji kazi wa kitengo hicho kama ifuatavyo;
Wabunge wameonyeshwa kuridhishwa huko wakati wakichangia hoja kuhusiana na masuala ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DKT. SHEIN AZUNGUMZAA UONGOZI WA OFISI YA RAIS,KAZI NA UTUMISHI WA UMMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JQYpF_iDEXA/U2OWXMIaMTI/AAAAAAAFe6c/-qy1ZwmHoys/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3NlzR7eyy5w/U2OWXXyJI5I/AAAAAAAFe6g/DXolOm63GqA/s1600/unnamed.jpg)