Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa TTB, TANAPA ukiongozwa na Mhe. Abdulkarim Shah wakaribishwa Chakula cha jioni ubalozi wa Tanzania Washington, DC

unnamed (17)

Mhe. Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafya kwa tiketi ya CCM akiongozana na ujumbe wake wa Tanzania Tourist Board (TTB) na Tanzania National Parks (TANAPA) walipowasili Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, DC kwenye chakula cha jioni walipokaribishwa Ubalozini hapo siku ya Alhamisi June 19, 2014

. Wengine waliokaribishwa ni Jumuiya ya Watanzania DMV, Kamati ya maandalizi ya sherehe ya Vijimambo, Katibu wa Jumuiya New York alikuwepo lakini chini ya kivuli cha Miss Tanzania USA...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC WAMKARIBISHA BALOZI OMBENI SEFUE KWA CHAKULA CHA JIONI

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwasili kwenye Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani alikokaribishwa chakula cha jioni wakiwemo viongozi mbalimbali wa Wizara ya Fedha na Benki Kuu ya Tanzania. Mhe. Ombeni Sefue ndiye aliyewezesha ununuzi wa jengo hilo la Ubalozi wakati alipokua Balozi wa Tanzania nchini Marekani mwaka 2007Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akimpokea Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni...

 

9 years ago

Vijimambo

Mhe,Balozi Wilson Masilingi Awasili Rasmi Kituo Chake Cha Kazi Ofisi Za Ubalozi wa Tanzania Washington DC.


 Mhe Balozi Wilson Masilingi akisalimiana na wafanyakazi wa Tanzania House Washington DC.( Pichani ni Edward Christopher Taji Mkuu wa Kitengo cha Visa.)

                   Mhe Balozi Wilson Masilingi akiwa ofisini kwake na kusaini kitabu maalum .
Mhe Balozi Wilson Masilingi akipata maelezo mafupi kuhusu kituo chake kipya cha kazi kutoka kwa Mwambata wa Jeshi Col Adolph Mutta na Afisa wa Uhamiaji wa Ubalozi Abbas Missana.

     PICHA ZOTE KWA HISANIA YA CAMERA YA...

 

9 years ago

Michuzi

MHE.BALOZI WILSON M. MASILINGI ATEMBELEA KITENGO CHA VISA KATIKA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON D.C, SIKU YA KUMBUKUMBU YA UHURU, TAREHE 9 DISEMBA, 2015

Katika kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Ubalozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington D.C umeendelea kufanya kazi na kutoa huduma za Visa na Pasipoti kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu hiyo.  Pamoja na kazi zingine za Ubalozi kuendelea kama kawaida, Mhe. Balozi Wilson M.Masilingi alitembelea kitengo cha Visa na huduma za Uhamiaji na kufanya mazungumzo mafupi na Mkuu wa Kitengo hicho Bw. Abbas A. Missana, Afisa...

 

5 years ago

Michuzi

FAMILIA YA KIMBAU YAOMBOLEZA MSIBA WA ABDULKARIM SHAH BUJJI

Familia ya aliyekuwa mbunge wa Mafia marehemu Kanali mstaafu Ayoub Kimbau tumepokea msiba wa ndugu yetu kaka yetu jamaa yetu mbunge mstaafu wa Mafia Ndg. Abdulkarim IH Shah (Bujji) kwa mshtuko na masikitiko Makubwa sana...Marehemu Shah (Bujji) pamoja na tofauti zetu za kisiasa baina yake na familia yetu hususan katika wakati wote wa zile kampeni za kisiasa, bado alikuwa ni mtu mwenye upendo nidhamu  utu heshima na uungwana wa hali ya juu hasa kwa wazazi wetu na sisi watoto.Buji alikuwa kaka,...

 

10 years ago

Vijimambo

AWADH ZUBERI NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC

 Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya urban and rular engineering ndugu Awadh Zuberi pamoja na ujumbe wake pichani wamemtembelea Balozi Liberata Mulamula, Kuanzia kushoto ni  ndugu Paul Mwafongo (Afisa Ubalozi uchumi),Bwn. Joseph Mnzanilla ,Mh.Bbalozi Mulamula,Bwn. Awadh Zuberi,Shemuni Halahala pamoja na ndugu Majid Zuberi wakiwa katika picha ya pamoja.Mkurugenzi wa Urban and Rular  Engineering wa kwanza kulia ndugu Awadh  Zuberi na msaidizi wake Shemuni Halahala wakiwasili  Tanzania house...

 

11 years ago

Dewji Blog

Prof Sospeter Muhongo na ujumbe wake watembelea ubalozi wa Tanzania, Washington, DC

IMG_0631

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC.

IMG_0642

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA SHUJAA WA CHAKULA BI. BAHATI MURIGA AHUDHURIA TAFRIJA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC

  Bi. Bahati Muriga alifika Ubalozi wa Tanzania, Washington DC kuhudhuria tafrija iliyoandaliwa na Oxfam America. Bi. Muriga aliongelea maisha yake katika Mkoa wa Mwanza alipokuwa anafanya kazi kama Mkuu wa shule ya msingi, pamoja na hayo pia aliweza kuingia katika shughuli za kilimo akitafuta kipato ya kusomesha watoto wake wawili ili kuwapatia maisha bora.
Ubalozi wa Tanzania Washington DC ulipata ugeni wa wasau kutoka mashirika mbalimbali waliokuja kuungana na Oxfam America inayoandaa Siku...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC, Marekani, na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande, ambaye yuko Marekani katika ziara ya kikazi na ujumbe wake,  aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe Makalla atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC marekani leo

Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula alipotembelea ubalozi wetu jijini Washington DC leo. Mhe Makalla yuko Marekani kwa ziara ya kikazi na mafunzo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani