Ukarabati Uwanja wa Ndege waila bajeti
Wajumbe wa Baraza la Wakilishi wamepitisha bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2014/15 huku ujenzi wa Uwanja wa Ndege ukichukua kiasi kikubwa cha bajeti hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
VijimamboUkarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi28 May
ATCL, Uwanja wa Ndege Mwanza vilivyotishia bajeti ya uchukuzi
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
MO aishukia CCM ukarabati uwanja wa Namfua
Katibu wa CCM Mkoa wa Singida Naomi Kapambala aaizungumza na waanndishi wa habari juu ya ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo.
Na Hillary Shoo, Singida
Mbunge wa Jimbo la Singida mjini (CCM), Mohammed Dewji ameulalamikia uongozi wa Chama chake Mkoa wa Singida kwa kitendo cha kuchelewesha mchakato wa kumalizia ujenzi wa Uwanja wa michezo Namfua ikiwa ni moja ya ahadi zake alizotoa kwa wananchi wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
Kuchelewa huko kuanza kwa mchakato wa ukarabati na...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ukarabati Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho
9 years ago
Michuzi
WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa ni moja ya...
5 years ago
Michuzi
UJENZI MRADI MKUBWA ENEO LA MAEGESHO YA NDEGE UWANJA WA NDEGE WAPAMBA MOTO ZANZIBAR
Harakati za umwagaji wa zege katika sehemu za kupakia na kushukia abiria ziko katika hatua nzuri chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya CRJ kutoka nchini China wakisaidiwa na wahandisi na washauri wazalendo waliobobea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salam.
Makamu wa Pili wa...
11 years ago
GPL
UWANJA WA ALLY HASSAN MWINYI TABORA, WAFANYIWA UKARABATI