Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO aishukia CCM ukarabati uwanja wa Namfua

kapambala

Katibu wa CCM Mkoa wa Singida Naomi Kapambala aaizungumza na waanndishi wa habari juu ya ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo.

Na Hillary Shoo, Singida

Mbunge wa Jimbo la Singida mjini (CCM), Mohammed Dewji ameulalamikia uongozi wa Chama chake Mkoa wa Singida kwa kitendo cha kuchelewesha mchakato wa kumalizia ujenzi wa Uwanja wa michezo Namfua  ikiwa ni moja ya ahadi zake alizotoa kwa wananchi wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.

Kuchelewa huko kuanza kwa mchakato wa ukarabati na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukarabati Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho

Uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya, (Mrefa), umewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa soka mkoani hapa kuhusu suala la kukosa uhondo wa kuangalia Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili kutokana na ukarabati wa Uwanja wa Sokoine kukamilika kesho.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukarabati Uwanja wa Ndege waila bajeti

Wajumbe wa Baraza la Wakilishi wamepitisha bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2014/15 huku ujenzi wa Uwanja wa Ndege ukichukua kiasi kikubwa cha bajeti hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika

  Meneja wa Uwanja wa ndege wa Mpanda, Mkoa wa Katavi Seneti Lyatuu akiwaonesha timu ya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mpanda. Nyuma yake (mwenye suti nyeusi) ni Mhandisi Caroline Mntambo kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndenge Tanzania, Makao Makuu, Dar es Salaam.Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda Bw. Seneti Lyatuu akifafanua jambo wakati timu ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango...

 

10 years ago

GPL

UWANJA WA ALLY HASSAN MWINYI TABORA, WAFANYIWA UKARABATI

Mafundi wakiendelea na ukarabati wa uwanja huo. Sehemu ya lango kuu la kuingilia. Muonekano wa uwanja huo.…

 

11 years ago

Daily News

Indecision on Namfua Stadium project saddens Singida MP


Indecision on Namfua Stadium project saddens Singida MP
Daily News
THE Member of Parliament for Singida Urban (CCM), Mr Mohammed Dewji, has blamed his party in the region for alleged delays in letting him finish reconstruction of Namfua Stadium, which was one of his electoral pledges during the 2010 general elections.

 

10 years ago

Habarileo

Sekondari za Namfua, Kahe sasa kuwa vyuo

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, imezifunga shule mbili za sekondari za Namfua na Kahe, kwa lengo la kuzibadilisha kuwa vyuo vya ualimu, kilimo na mifugo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aishukia serikali

SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani