Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekondari za Namfua, Kahe sasa kuwa vyuo

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, imezifunga shule mbili za sekondari za Namfua na Kahe, kwa lengo la kuzibadilisha kuwa vyuo vya ualimu, kilimo na mifugo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki(IUCEA)Profesa Mayunga Nkunya akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha jana kuhusu hali ya wahitimu katika nchi za Afrika Mashariki na ushirikiano wa Baraza la Wafanyabiashara Afrika Mashariki(EABC) kuwajengea uwezo wahitimu ili kumudu soko la ajira .Taasisi hiyo itakuwa na maonesho ya vyuo katika nchi za EAC  Kampala ,Uganda mwezi Oktoba ,2015.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wafanyabiashara wa Afrika...

 

10 years ago

Habarileo

Vyuo vikuu vyabeba sekondari za kata

MAFANIKIO katika sekta ya elimu ya msingi na sekondari, yaliyosababisha ongezeko kubwa la wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita wakiwemo kutoka shule za kata, yameilazimu Serikali kuandaa vyuo vikuu nchini kupokea idadi kubwa ya wanafunzi kutoka shule za sekondari.

 

10 years ago

Habarileo

Tofauti ada vyuo vikuu sasa basi

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne KilangoMWONGOZO wa ada elekezi utakaondoa utata wa utofauti wa kulipa ada baina vyuo na vyuo nchini, unatarajiwa kukamilika na kuanza rasmi kutumika mwezi ujao.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Taaluma vyuo vikuu sasa kwa mtandao


NA WILLIAM SHECHAMBO
HATIMAYE serikali imezindua mradi wa ujenzi wa mtandao wa Internet kwa vyuo vya elimu ya juu na taasisi za utafiti nchini, ambao utaziunganisha na kuziwezesha kushirikiana katika masuala ya kitaaluma.
Mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Dunia, mara utakapokamilika, unatarajiwa kuziunganisha taasisi 28 huku zingine zikipewa fursa ya kujiunga na mradi huo kwa kadri inavyowezekana.
Serikali ya awamu ya nne imekuwa ikiweka mkazo mkubwa katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na...

 

10 years ago

Habarileo

Ada sekondari sasa kufutwa

Rais Jakaya KikweteSERIKALI inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.

 

11 years ago

Habarileo

Sekondari 1,200 zaingizwa `Matokeo Makubwa Sasa’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaSHULE 1, 200 za sekondari zilizojengwa na wananchi kwa kushirikiana na Serikali zimeingizwa kwenye utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa ajili ya uboreshaji wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia, imefahamika.

 

10 years ago

Mwananchi

Kawambwa sasa awakera wadau kuhusu mchujo sekondari binafsi

Hivi karibuni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alinukuliwa na vyombo vya habari akiagiza wamiliki wa shule binafsi kufuata viwango vya ufaulu vilivyowekwa na Serikali katika madaraja mbalimbali ya elimu ya sekondari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani