Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA: Opposition alliance that battled Kikwete, now facing Sitta


Daily News
UKAWA: Opposition alliance that battled Kikwete, now facing Sitta
IPPmedia
UKAWA, the Alliance for People's Constitution in the Constituent Assembly sounds very unfamiliar to many people, but it is the same people that pushed for national support against the Constitutional Review (Amendments) Bill2013. Ukawa, which is a ...
CA members commend president's inaugural speechDaily News
New Chapter in History As Kikwete Inaugurates CA On FridayAllAfrica.com

all 22 news...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Opposition alliance: Could this be a new dawn or another false start?

On Sunday, 26 October supporters of opposition parties and their leaders cascaded towards Jangwani grounds in Dar es Salaam to witness a historic event in efforts of the opposition to unseat the long, exhausted incumbent, CCM.

 

9 years ago

TheCitizen

CCM says Ukawa has panicked as alliance alleges results fraud

The opposition alliance Ukawa yesterday accused CCM of tampering with election results currently being released by the National Electoral Commission (NEC).

 

10 years ago

TheCitizen

Opposition criticises Sitta over meetings

>Opposition parties have criticised Constituent Assembly (CA) chairman Samuel Sitta for meeting different groups and receiving their opinions, saying it is against the law.

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta gives in to opposition pressure on forming team

The chairman of the Constituent Assembly (CA), Mr Samuel Sitta, has bowed to the objection raised against his recent appointment of five members to join the Katiba Steering Committee.

 

10 years ago

Vijimambo

Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta sasa ‘ametangaza rasmi vita’ dhidi ya viongozi wa dini kwa kusisitiza kuwa hayuko tayari kuwaheshimu wala kuwavumilia ambao wanatoa nyaraka alizodai kuwa hazina utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa waumini wao.

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta apuuza maoni ya Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji nchini, Huruma Ole Kalaita (kulia) akiwa na ujumbe wa wanachama 44 wa chama hicho mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (katikati) walipomtembelea bungeni Dodoma jana kutoa maoni yao ya uboreshaji wa mapendekezo ya Katiba. Kushoto ni mlezi wa chama hicho, John Shibuda. (Na Mpigapicha Wetu).MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepuuza maoni ya viongozi wa wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutaka Bunge hilo lisitishwe.

 

11 years ago

Habarileo

Sitta- Ukawa waje tuzungumze

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaotoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliotoka bungeni juzi jioni wamepanga kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar kesho, kwa kile walichodai ni kuwaeleza wananchi ukweli wa mambo yanayojiri katika Bunge linaloendelea hivi sasa.

 

10 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wamtia Sitta kitanzani

Mtanzania 10092014NA RACHEL MRISHO, DODOMA

UAMUZI uliofikiwa na viongozi wa vyama vya siasa na Rais Jakaya Kikwete umemweka katika wakati mgumu Mwenyeki wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuahirisha au la vikao vya Bunge hilo.

Hii inafuatia Rais Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana kusitisha Bunge la Katiba Oktoba 4 tofauti na ratiba ya Sitta ambayo inaonyesha vikao vitaendelea hadi Oktoba 31 atakapomkabidhi rais katiba iliyopendekezwa.

Vilevile kwa tafsiri ya uamuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aifuata Ukawa Z’bar

Wakati viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima visiwani humo akikutana na baadhi ya viongozi wa Serikali, katika kile kinachotafsiriwa kuwa kulinusuru Bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani