Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKIFIKA MITAA YA KINONDONI BLOK 41 NYUMA YA JENGO LA AIRTEL UTAKUTANA NA HII VITU VYA KHADIJA LIVE.

Mwanamitindo mahiri nchini Khadija Mwanamboka, amefungua kiota kipya kabisa maeneo ya Kinondoni Blok 41 kinachotoa huduma ya mambo ya maakuli na vinywaji laini, ikiwa ni pamoja na Juice fresh za matunda mbalimbali kama Embe. Pasion, Nanasi, Fenesi, Miwa na mengineyo mchanganyiko, kwa afya yako na kioganiki kabisa pamoja na vyakula vya aina mbalimbali vinavyopatikana kwa mtindo wa Bufee. Eti ni 'VITU VYA KHADIJA' fika ukajionee mwenyewe Vitu vya Hadija, Kiota hicho kimefunguliwa mwishoni mwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Hellofood Tanzania celebrates first anniversary by signing a new partnership with Vitu Vya Khadija

Hellofood Tanzania

Restaurant of fashion designer Khadija Mwanamboka joins collaboration with the online food delivery service 

Founded by Africa Internet Group (AIG), the leading online food delivery service hellofood, celebrates its one year anniversary in Tanzania today. Twelve months after taking its first order, the company continues to grow further into the market with new exciting partnerships such as its recent collaboration with Vitu Vya Khadija owned by famous fashion designer, Khadija...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watu wenye ulemavu msibaki nyuma uchaguzi serikali za mitaa

DESEMBA 14 mwaka huu itakuwa siku ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini. Ratiba ya uchaguzi huo imekwishatolewa, na kuonyesha kwamba Novemba 23 ndio uandikishaji wa majina unaanza katika maeneo...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY MWISHONI MWA WIKI HII‏

Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii
·  Mabadiliko yataleta ufanisi kwa huduma ya Airtel money
·  Mabadiliko yatawezesha  wateja kufanya mambo mengi na kuongeza watumiaji wa huduma ya Airtel money
· Mabadiliko yataongeza matumizi ya huduma ya Airtel money Tanzania
Dar es Salam Februri 7 2014:  Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma za kibunifu na zenye...

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ.......:Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii

Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma za kibunifu na zenye ubora nchini iko katika mchakato wa kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money na kuifanya kuwa ya kisasa zaidi. Mabadiliko haya yatafanyika mwishoni mwa wiki hii tarehe 7 hadi 9 februari 2014 ambapo baada ya maboresho hayo wateja wa Airtel Money watafurahia ufanisi bora wa mtambo wa Airtel money wakati wowote watakapotaka kufanya malipo mbalimbali kwa kupitia huduma za kifedha za simu za mkononi.
Maboresho...

 

11 years ago

GPL

KHADIJA KOPA AKIFANYA YAKE MUDA HUU DAR LIVE

Khadija Kopa Malkia wa mipasho akifanya yake muda huu ndani ya Dar Live. ...Akicheza mbele ya mashabiki. ...Khadija Kopa…

 

11 years ago

GPL

PROFESA CALABASH AFANYA VITU VYAKE DAR LIVE

Mkali wa maigizo na michezo ya watoto Profesa Calabash akiwapa raha watoto ndani ya Dar Live katika sikukuu ya Krismasi leo.…

 

10 years ago

Habarileo

Wenyeviti mitaa Kinondoni wabanwa

WENYEVITI wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wametakiwa kuwasimamia watendaji wao kutekeleza miradi ya kijamii ili kuharakisha hali bora za maisha kwa wananchi wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani