Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKIKUTANA NA MHESHIMIWA RAIS WA NCHI UTAMUELEZA SHIDA YAKO GANI?

Kwa upande wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz hivi karibuni alipoenda nchini Marekani alipata nafasi ya kukutana na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania,Dr Jakaya Mrisho Kikwete na alipoulizwa akamwambia shida yake ni kufanya kolabo na wasanii wakubwa, ambapo rais Kikwete alimkutanisha Diamond na mdau mkubwa wa muziki aliyewahi kuwa rais wa record label kubwa ya Def Jam, na makamu wa rais wa Island Def Jam.Mchana huu Diamond anatarajia kupaa kuelekea South Africa kwa ajili ya tuzo za...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA PROF. ANNA TIBAIJUKA BORA UJIUZULU KULINDA HESHIMA YAKO NA CHAMA

Mheshimiwa Bi.Anna Tibaijuka (Mb)
Na Projectus Ishengoma LugumalilaMheshimiwa Bi.Anna Tibaijuka (Mb) Waziri wa Ardhi ni moja wa viongozi wachache sana wenye ujasiri na kiongozi muwazi katika sakata zima la Tageta ESCROW,kwani kiongozi huyu amekili wazi kuwa amepokea fedha Billion 1.6 kutoka kwa mmiliki
wa kampuni ya VIP Engineering Bw.James Rugimalira,tena si fedha ndogo.

Si jambo jema kumuhukumu Mheshimiwa Anna Tibaijuka,lakini sio vibaya kumshauri kwa kuwa amekuwa muwazi katika sakata...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?

Taratibu za kufuata wakati wa kuvaa barakoa kujikinga na virusi vya corona

 

10 years ago

Vijimambo

Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida


Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nchi gani itatembeza kichapo Brazil?

Wandishi wa BBC wachambua makundi yote na pia kutabiri timu gani wanadhani itatwaa kombe la dunia wakati huu

 

11 years ago

TZToday

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika
(Map of Pangea With Current International Borders)

 

5 years ago

BBCSwahili

Nchi za SADC ziko tayari kiasi gani kudhibiti virusi vya corona?

Mawaziri wa afya wa SADC waweka mikakati ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi gani zinafanya vizuri katika kupima watu?

Nchi za Afrika zinakabiliwa na changamoto katika hatua ya kupima watu kwa halaiki kubaini ikiwa wamepata maambukizi ya virusi vya corona au la

 

11 years ago

GPL

UKIKUTANA NA MTU HUYU, KAA MBALI!

Stori: MWANDISHI WETU
Kuna mtu mmoja almaarufu kwa jina la Kamanda au Kachero wa OFM (Oparesheni Fichua Maovu) ya Global Publishers ambaye unashauriwa ukikutana naye kaa mbali, pata undani wake. Kamanda au Kachero wa OFM (Oparesheni Fichua Maovu). Jamaa huyo hatari amedhamiria kuibadili Tanzania kimaadili kwa kuibua na kufichua uovu katika jamii.
Tayari amefanya matukio mengi makubwa ya kufichua uovu ndani na nje ya Jiji la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?

Baadhi ya mikakati inayotumiwa na wanawake kukabiliana na janga la corona kwa nchi zinazoongozwa na wanawake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani