UKIONA UNACHUNGUZWA NA KUFUATILIWA SANA, KAA MKAO WA KUACHWA!

Mpenzi msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kuhisi wanasalitiwa na wapenzi wao waliotokea kuwaamini sana. Kasi ya wapenzi kusalitiana imekuwa ikishika kasi kila siku kiasi cha baadhi kuhisi bila kusaliti hawasikii raha. Yaani wanapatilizwa kila kitu na wenza wao lakini bado wanatoka nje. Unakuta mwanaume ana mke mzuri wa sura na tabia na anayejua mapenzi na kila kitu lakini bado mwanaume huyo haridhiki,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
UKIWA HODARI WA KUHONGA, KAA MKAO WA KUACHWA WAKATI WOWOTE!
11 years ago
Michuzi.jpg)
11 years ago
Michuzi10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula
Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;
“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”
Tukae mkao wa kula,tuisubiri
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
10 years ago
VijimamboKIJIWE CHA UGHAIBUNI KURUDI HEWANI MWAKANI KAA MKAO WA KULA
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Kiongozi wa upinzani apinga kufuatiliwa
10 years ago
Bongo Movies12 Sep
Aunty Ezekiel Hataki Kufuatiliwa
STAA wa Bongo Movie ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja Aunty Ezekiel amesema huwa anakerwa na watu ambao wanapenda kufuatilia mahusiano yake na baba mtoto wake Moses Iyobo, dansa wa Diamond Platinumz.
Aunty Ezekiel alisema, kuna baadhi ya watu wanapenda kumfuatilia mahusiano yake na kudai yeye amemzidi umri dansa huyo kitu ambacho hapendezwi nacho.
Alisema huwa anawashangaa sana baadhi ya watu ambao wanashidwa kufanya mambo yao na kumjadili maisha yake.
“Jamani mimi sipendi maneno ya...