Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine; Warusi zaidi wawekewa vikwazo

Marekani imetoa vikwazo vipya vya kiuchumi dhidi ya Urusi na kuushutumu utawala wa Moscow kwa kuchochea uhasama Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Warusi zaidi wawekewa vikwazo na EU

Viongozi wa Umoja wa Ulaya umeongeza idadi ya Warusi watakaowekewa vikwazo kuhusu Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi kuwekewa vikwazo zaidi

Urusi kuwekewa vikwazo kufuatia kuhusishwa na mashambulizi Mashariki mwa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

G7 kuiwekea Urusi vikwazo zaidi

Viongozi wa nchi zenye uwezo mkubwa duniani G7 wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kwa kuchochea ghasia Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea Urusi vikwazo zaidi

Marekani yaiadhibu Urusi kwa vikwazo zaidi vya kiuchumi kutokana na kuhusika kwa Urusi katika mzozo wa Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aionya Urusi kwa vikwazo zaidi

Rais Obama ameitaja hatua ya Urusi kutwaa eneo la Crimea kutoka kwa Ukraine kama ishara ya udhaifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia kuanguka Ukraine

Mabaki ya miili zaidi ya 100 yameokotwa jirani na eneo ilipoanguka ndege ya Malaysian Airlines kule Grabovo jirani na mpaka wa Ukraine na Urusi leo.

 

10 years ago

Mtanzania

Warusi wapewa siku mbili dili la Samatta

IMG-20150121-WA0022NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BAADA ya mshambuliaji Mbwana Samatta kuvuka mtihani wa kwanza wa kusaka ulaji ndani ya timu ya CSKA Moscow ya Urusi, sasa timu hiyo imepewa siku mbili kati ya leo au kesho ihakikishe inamalizia taratibu za kumsajili.
Samatta hivi sasa anaendelea na mazoezi ndani ya kikosi cha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Urusi, ambapo gazeti hili ndilo lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa za mshambuliaji huyo kutimkia nchini Hispania kusaka ulaji CSKA na timu nyingine...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na vikwazo

Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani