UMATI wakabidhi Baiskeli 40 kwa wahudumu wa afya ya uzazi ngazi ya jamii Wilaya ya Rufiji
Afisa Vijana kutoka Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI), Antony Mkinga (kulia) akitoa maelezo kwa wahudumu wa Afya ya uzazi ngazi ya jamii kabla ya kukabidhiwa baiskeli kutoka UMATI katika hafla fupi iliyofanyika IJUMAA tarehe 30 Mei, 2014 katika Kata ya Chumbi “A” Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Na Mwandishi Wetu, RUFIJI.
CHAMA cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) imewapatia baiskeli 40 zenye thamani ya Tsh. Milioni 4.8 wahudumu wa afya ya uzazi na ujinsia ngazi ya jamii...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTAASISI YA BMF YAENDESHA MAFUNZO KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII UMMY ASHAURI TUJIFUNZE KUISHI NA CORONA
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto, Ummy Mwalimu amewaasa Watanzania kujifunza kuishi na Corona kwani itakuwepo kwa miezi kadhaa hivyo maisha ni lazima yaendelee na uzalishaji mali uendelee huku wananchi wakiendelea kuchukua tahadhari kwa kufuata miongozo iliyotolewa na waudumu wa afya.
Ameyasema hayo leo Mei 14, 2020 jijini Dar es Salaam alipotembelea mafunzo ya waudumu wa afya ngazi ya jamii yanayotolewa na Wizara ya afya kwa ufadhili...
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Shirika la SEMA mkoani Singida lachangia vifaa vya afya kwa wahudumu 43 wa afya ngazi ya vijiji na mitaa
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali vikiwemo miavuli vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.5 milioni vivyogawiwa kwa wahudumu wa afya ngazi ya vijiji na mitaa manispaa ya Singida. Kulia ni Mganga mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk John Mwombeki.
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akimkabidhi Mganga Mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Feb
USAID yatoa baiskeli 123 kuhamasisha afya ya uzazi
SHIRIKA la Misaada la Maendeleo la Marekani (USAID) limetoa jumla ya baiskeli 123 na vifaa mbalimbali kwa ajili ya wafanyakazi wa Wizara ya Afya watakaoshiriki katika kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa akinamama Unguja na Pemba.
5 years ago
MichuziDOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya ngazi ya jamii 109 kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s72-c/PIX2a.jpg)
JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s640/PIX2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBj5JefuV2E/VksVNT5hswI/AAAAAAAIGYI/J5-tNm2zrus/s640/PIX2b.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 May
Wakazi wilaya ya Kakonko watakiwa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF-Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-OqqTJhGoJO4/VVI9UPMg7XI/AAAAAAAAMmI/tlEmmOCZ5Co/s640/CHF%2BKKK.2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jZT_om5BzVw/VVI945lWibI/AAAAAAAAMmg/0jYxVTNN_Uw/s640/CHF%2BKKK.4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CkyPFx_doiA/Vef6c2Hb1KI/AAAAAAAH2Ac/CY2yR8zY9cQ/s72-c/Health%2BPix%2B2.jpg)
SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...