USAID yatoa baiskeli 123 kuhamasisha afya ya uzazi
SHIRIKA la Misaada la Maendeleo la Marekani (USAID) limetoa jumla ya baiskeli 123 na vifaa mbalimbali kwa ajili ya wafanyakazi wa Wizara ya Afya watakaoshiriki katika kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa akinamama Unguja na Pemba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
UMATI wakabidhi Baiskeli 40 kwa wahudumu wa afya ya uzazi ngazi ya jamii Wilaya ya Rufiji
Afisa Vijana kutoka Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI), Antony Mkinga (kulia) akitoa maelezo kwa wahudumu wa Afya ya uzazi ngazi ya jamii kabla ya kukabidhiwa baiskeli kutoka UMATI katika hafla fupi iliyofanyika IJUMAA tarehe 30 Mei, 2014 katika Kata ya Chumbi “A” Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Na Mwandishi Wetu, RUFIJI.
CHAMA cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) imewapatia baiskeli 40 zenye thamani ya Tsh. Milioni 4.8 wahudumu wa afya ya uzazi na ujinsia ngazi ya jamii...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s72-c/PIX2a.jpg)
JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s640/PIX2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBj5JefuV2E/VksVNT5hswI/AAAAAAAIGYI/J5-tNm2zrus/s640/PIX2b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nkcxzvRomsw/UwzLUOs2yRI/AAAAAAAFPhU/aad7zewVTp4/s72-c/unnamed+(5).jpg)
USAID YATOA ELIMU YA LISHE DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nkcxzvRomsw/UwzLUOs2yRI/AAAAAAAFPhU/aad7zewVTp4/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ufxUnkqe2cw/UwzLUPulfMI/AAAAAAAFPhM/wKywavcKDHc/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
WORLD LUNG FOUNDATION YAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UZAZI WA MPANGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qIlr-b0EHWw/VWQlIHQv75I/AAAAAAAHZ4s/-I1-iAKUF5s/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
KCB yachangia kampeni afya ya uzazi
BENKI ya Biashara ya Kenya (KCB), imechangia sh milioni 48 ili kusomesha wakunga 10 kwa ajili ya kuokoa afya ya mama na mtoto. Uchangiaji huo unakwenda sambamba na mikakati ya...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito