USAID YATOA ELIMU YA LISHE DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nkcxzvRomsw/UwzLUOs2yRI/AAAAAAAFPhU/aad7zewVTp4/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mtaalamu wa Lishe Bi Julita kutoka USAID Tuboreshe Chakula Project akimuelekeza mgeni rasmi katibu tawala wilaya Kongwa, Bw Joseph Kisyela umuhimu na jinsi ya kutumia Virutubishi ambavyo ni muhimu kwa watoto wenye umri wa miezi 6 hadi miaka 5. Sherehe hizo zilifanyika Wilaya Kongwa,kata ngomai mkoani Dodoma
Katibu wa wilaya ya Kongwa Bw Joseph Mwita Kisyeli,akitoa hotuba juu ya umuhimu na faida za chakula kilichoongezwa virutubishi,kwa mtoto miezi 6 - miaka 5,katika kampeni ya lishe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s72-c/SSRA%2Blogo.png)
SSRA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI (TUCTA) MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s640/SSRA%2Blogo.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jNPWGXKyPEU/Vg11NMaDOmI/AAAAAAABePE/IfFgrE_kc-g/s640/Ansgar%2BMushi.png)
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao.
Mbali na hilo, waajiri wa metakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao, kujiunga na mfuko wasio upenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza.
Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
11 years ago
Habarileo18 Feb
USAID yatoa baiskeli 123 kuhamasisha afya ya uzazi
SHIRIKA la Misaada la Maendeleo la Marekani (USAID) limetoa jumla ya baiskeli 123 na vifaa mbalimbali kwa ajili ya wafanyakazi wa Wizara ya Afya watakaoshiriki katika kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa akinamama Unguja na Pemba.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s72-c/picture%2B1.jpg)
wakazi wa Meru wapatiwa elimu ya lishe
![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s1600/picture%2B1.jpg)
Mtaalamu wa Lishe Tom Mwaipenye kutoka taasisi ya Foot Print, akiwaeleza akina mama waishio maeneo yanayozunguka hospitali ya Halmashauri ya Meru mkoani Arusha, umuhimu wa Virutubishi kwa afya bora ya mwili na akili za mtoto, ikiwa ni sehemu ya kampeni za kuelimisha umma juu ya faida za kutumia Virutubishi ili kuboresha afya. Kampeni hizi zinaendeshwa na serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Taasisi ya Chakula na Lishe, na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-0cI27Ob2uuc/VCJxmJ32e5I/AAAAAAAGlbU/yY4onUHuAUs/s1600/picture%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yDQR11NQpnU/VCJxmTGtfsI/AAAAAAAGlbY/AoSQFy_rl48/s1600/picture%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s72-c/New%2BPicture%2B(14).png)
VIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s1600/New%2BPicture%2B(14).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0v8tNnrtwh4/VB6dE_7MGvI/AAAAAAAGk18/J-9vJUdJ7B4/s1600/New%2BPicture%2B(9).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y3Fxk04B81M/Xsy3eRtcERI/AAAAAAALriQ/QsxI0ighf3oYyY3eATWsS5bJHxVDhXWVwCLcBGAsYHQ/s72-c/kabidhi.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...
11 years ago
MichuziWakaazi wa Morogoro mjini wapatiwa elimu ya lishe