Umeme wa upepo mbioni Mkoani Singida, mradi mkubwa utakaonufaisha Taifa
Makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania, Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akizindua mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.
Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano Tanzania,Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akipanda mti ikiwa ni kwa ajili ya kumbukumbu ya uzindua wa mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.
Afisa mwandamizi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Dola za Marekani Milioni 132 kutumika katika mradi mkubwa wa umeme wa upepo wa Megawati 50 Singida,Kutoa ajira 2,200
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKkQiVSoP6w/VP03leaxfcI/AAAAAAAHIxs/mnJzAjLNdg4/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WkSghGCcmx8/VP03l5xn1uI/AAAAAAAHIxw/telmypXDlFQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Mradi wa umeme wa upepo Singida ‘waudhi’ wananchi
Baadhi ya wakazi wa kata ya Kisaki manispaa ya Singida waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa.
Makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania, Dk.Mohammed Ghalib Bilal,akizindua mradi wa kufua umeme wa upepo unaotekelezwa na kampuni ya Wind East Africa katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida.
Na Jumbe Ismail, Singida
SIKU chache tu baada ya Makamu wa Rais,Dk.Mohamed Gharib Bilali kuweka jiwe la msingi la...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mradi umeme wa upepo kutumia dola mil.132
MKUU wa Kitengo cha Miundombinu na Nishati kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) , Pascal Malesa amesema serikali inatarajia kutumia Dola za Marekani milioni 132 kukamilisha mradi wa kuzalisha umeme wa upepo wenye uwezo wa Megawati 50 ifikapo mwakani.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Dola milioni 136 kutumika mradi umeme wa upepo
DOLA milioni 136 za Marekani zitatumika katika mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za upepo kwa awamu ya kwanza ya uzalishaji wa MW 50 mkoani Singida. Fedha hizo pia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s72-c/DSC08155.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s640/DSC08155.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCegTkUfKcQ/VaNxjDgewaI/AAAAAAAHpQw/R8-WTZBdpSs/s640/DSC08157.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y_SQMHXDZG4/VaNxkBcDN4I/AAAAAAAHpRA/TL5kSRUISsw/s640/DSC08174.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Oct
Mradi mkubwa wa umeme Dar kukamilika mwakani
MRADI mkubwa wa megawati 80 kwa ajili ya kuboresha umeme katikati ya Jiji la Dar es Salaam unatarajia kukamilika Agosti mwakani.
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
DC IKUNGI MKOANI SINGIDA AZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO NA MAZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jU0CDu2LvY8/Xvdc91RsEeI/AAAAAAAAG0c/BcfwnmL2vj4yDZ5TIP69YDsdjWMl8QMpQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h10m05s721.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9vf_WhMXcO8/XvddDiY6qmI/AAAAAAAAG0k/GHZanWJLwx4CHTJ5A9lm0Ax2KaTdZdKJwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m08s450.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NBj5UTihODU/XvdclIVz_dI/AAAAAAAAGzg/WxrSXj-MqLMil1ZkFue3ie9FnKYfgWsmwCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Mwonekano wa mnada huo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-D3qgS5cSA1U/XvddC8SnEGI/AAAAAAAAG0g/LWhHz4_Adlo3Kblkt-1NbfFIFSbm9NQFgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-27-15h11m54s760.png)
Mchoma nyama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bseir7FFYq4/VX8FY0oDmFI/AAAAAAAHfto/dk_SuTDReYw/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
MCC kudhamini miradi ya umeme mkoani Singida
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bseir7FFYq4/VX8FY0oDmFI/AAAAAAAHfto/dk_SuTDReYw/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NrVLIrkov2s/VX8Fae639mI/AAAAAAAHft0/jwphe1ywVrs/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)