Umoja Switch, Vodacom waboresha huduma za kifedha
KAMPUNI ya Umoja Switch na Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Vodacom Tanzania wamezindua huduma ya kuchukua fedha kwenye mashine za Umoja Switch (ATM) kupitia huduma ya M-Pesa. Huduma hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s72-c/004.jpg)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D3lacmOEXz0/U_SXOojZ9wI/AAAAAAAGA5g/rRCeYG-2M7U/s1600/004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEpw8MMJLyw/U_SXRz0dGQI/AAAAAAAGA50/_wb7wyKVLgY/s1600/006.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOrAXqFClet9mVhpHYYb2IrbqSSLxy5n4FOHD1pqLpnKnYDOmfsKoB4QCjuTFTlCgXxalQtu7aQlR0Pdqn4ydBC/001.jpg?width=650)
VODACOM YATOA MADA KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE KWENYE WARSHA YA KUSHIRIKISHANA NJIA ZA KUBORESHA NA KUPANUA HUDUMA ZA KIFEDHA
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji wa mada Felix Mlaki na Katikati ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2B1-QLkIo_o/VO27Bk8K3lI/AAAAAAAHF1E/p95qtpfBySg/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U07cOF2XESY/VO27AjbJaWI/AAAAAAAHF0w/ABAl6VaGssg/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xaLxKrBLF-NcW3dpcS--dMgIBn-UqPXh-VLsIrWTU5YcJ1nInbDtx3N3nkDvmllKahgEDaV7c0DNUnYJ8kgAjU/001.LEO.jpg?width=650)
VODACOM NA TIGO WAUNGANA KUTOA HUDUMA BORA ZA KIFEDHA
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutia saini makubaliano ya kutoa huduma za kutuma na kupokea fedha na miamala mbalimbali ya malipo zinazotolewa na kampuni yake kupitia huduma ya M-Pesa na Tigo kupitia huduma yake ya Tigopesa. Anayeshuhudia kulia ni Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez.
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s72-c/001.Moneygram.jpg)
VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO WA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVNYKjJ83U/VdxPUqYuZbI/AAAAAAAHz24/ehBBVnXC3rc/s640/001.Moneygram.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVQIvRvfsrs/VdxPUnLO0hI/AAAAAAAHz3A/NgbaowVsw-o/s640/003.Moneygram.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOd*uiOH7cPIijJlqn3XYdiEkpKDz5c7mRTyshhnGru8NVYG41qEwxcqhytwj7iI-2Ogfr-mFHxoh8Dk6iODXxgi/003.Moneygram.jpg)
VODACOM NA MONEYGRAM WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Kitaifa wa Benki kuu ya Tanzania (BoT) Bernard Dadi (katikati) na Makamu wa Rais wa Moneygram Afrika, Herve Chomel(kulia) wakimshuhudia Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma za biashara za M-Pesa wa Vodacom Tanzania,Jacques Voogt( kushoto) akisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya M-pesa na Moneygram (Monegram M-Pesa) ambayo itawanufaisha wateja...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s72-c/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s640/001.Kongamano.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zq7ey03BXVM/VeLECFitPYI/AAAAAAAH08c/DYTU_HGehxE/s640/002.Kongamano.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee48z*eIIl0T0iTQhGdaxbYxshxlaiqivKwfNWre5*efhWLopu7srbaLyWL5*8bso51VdyErM0v5zPasmPd*1SCPO/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutoka kushoto Anna Msinde,Mwanaidi Khaji na Mariam Rajabu wakielekezwa na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Athuman Mwakipesile(kulia) jinsi ya kujiunga na huduma ya M-Pawa inayowawezesha wateja wa kampuni hiyo kupata riba na mikopo ya bei nafuu kupitia simu zao za mkononi wakati wa kongamano la wiki ya huduma za kifedha na uwekezaji(Financial and Investment Service fair) lililofanyika katika...
10 years ago
TheCitizen13 Feb
Umoja Switch network goes regional
Tanzanians, banking with commercial banks that subscribe to Umoja Switch, will now be able to withdraw cash on Automated Teller Machines (ATM) across Kenya, Uganda and Rwanda without incurring extra charges, it was revealed yesterday.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania