UMOJA WA MAKANDARISI WAZALENDO (ACCT) KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KUWANOA MAFUNDI MCHUNDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mQnhIRiE9LY/VXKRo42Ae4I/AAAAAAAHcaU/thRnQcDS0i8/s72-c/AT%2B4.jpg)
Mwenyekiti wa taasisi ya ACCT,Milton Nyerere(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)Dk Richard Masika wakibadishana hati za makubaliano ambayo itatoa fursa kwa mafundi wengi kunolewa na kuweza kufanya kazi za ujenzi kwa ubora wa hali ya juu.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha,Dk Richard Masika akizungumza katika hafla ya kusaini makubaliano ya kushirikiana na Assocition of Citizen Contractors Tanzania(ACCT)leo chuoni hapo,kushoto ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo,Milton Nyerere.Taasisi hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Oym2B-kPpxk/U53b62KnFvI/AAAAAAAFqyo/Xl8AvONpm9s/s72-c/unnamed+(42).jpg)
siku ya familia ya Chuo cha Ufundi Arusha yafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oym2B-kPpxk/U53b62KnFvI/AAAAAAAFqyo/Xl8AvONpm9s/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hlEe0saAb_A/U53b92GBwCI/AAAAAAAFqzM/lmuw-VNEGJg/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iN1i_ZwiqTQ/U53b71EUFeI/AAAAAAAFqzg/3lfh_4iLBzk/s1600/unnamed+(45).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wanafunzi na wananchi wafurahia Banda la Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Nane nane Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-94O9A6hDbYo/VcReU1OyB0I/AAAAAAAAElc/DwwMSi3IKWs/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lotPTiG3R8k/VcReW6COLMI/AAAAAAAAElk/NkTbq2vbtcw/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4GUi4tsxihQ/VcReZgOJupI/AAAAAAAAEls/KmWz-N-Ka2M/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WAHITIMU 10 WAKABIDHIWA MILIONI 10 ZA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tVMTfBcCudE/VLqnlHQfQxI/AAAAAAAG-Bs/zhlWTgJwTCk/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFTrWIMslHk/VLqnjzKfIsI/AAAAAAAG-Bk/4EL4baNAP2I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94O9A6hDbYo/VcReU1OyB0I/AAAAAAAAElc/DwwMSi3IKWs/s72-c/2.jpg)
WANAFUNZI NA WANANCHI WAFURAHIA BANDA LA CHUO CHA UFUNDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-94O9A6hDbYo/VcReU1OyB0I/AAAAAAAAElc/DwwMSi3IKWs/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lotPTiG3R8k/VcReW6COLMI/AAAAAAAAElk/NkTbq2vbtcw/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4GUi4tsxihQ/VcReZgOJupI/AAAAAAAAEls/KmWz-N-Ka2M/s640/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira
WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Michuzi15 Sep
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO CHA UFUNDI STADI MASIGITUNDA
1. MKUU WA CHUO NAFASI MOJA (1):
AWE NA SIFA ZIFUATAZO;
1. AMEMALIZA KIDATO CHA NNE2. AWE NA DEGREE YA UALIMU NA UONGOZI3. AWE NA UFAHAMU WA UTUMIAJI COMPUTER4. AWE NA UZOEFU WA UTAWALA5. AWE NA UZOEFU WA KAZI MIAKA MIWILI (2)
2. MWALIMU WA UASHI NAFASI MOJA (1):
AWE NA SIFA ZIFUATAZO;
1. AMEMALIZA KIDATO CHA NNE2. AWE NA CHETI CHA UFUNDI UASHI GRADE I AU CBET LEVEL III3. AWE NA...
9 years ago
StarTV30 Dec
Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.
Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.
Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
DIWANI AOMBA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KWA WALEMAVU MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
Diwani wa Kata ya Utemini, Baltazar Kimario.
Na Ismail Luhamb,Singida.
DIWANI wa Kata ya Utemini Manispaa ya Singida, Baltazar Kimario, ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo kipya cha ufundi stadi cha kwa ajili ya watu wenyeulemavu mkoani hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha baraza la madiwani kilicho keti mwishoni mwa wiki, Kimario, alisema chuo kinachoendelea kutumika kilijengwa miaka ya 70 hivyo miundombinu yake imechakaa inahitaji ukarabati wa...