Wanafunzi na wananchi wafurahia Banda la Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Nane nane Arusha
Wananchi wanaotembelea maonesho ya Kilimo na mifugo Nananane Njiro jijini Arusha wakiwa kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha kupata maelezo ya namna kinavyotimiza wajibu wake kuelimisha vijana katika taaluma ya ufundi nchini.
Wanafunzi na wananchi wakipata maelezo kutoka kwa Mkufunzi wa Mitambo,Frank Moshi kwenye banda la Chuo cha Ufundi Arusha (ATC)juu ya matumizi ya nishati ya Nguvu jua .
ATC pia hutoa mafunzo ya kuongeza thamani madini hapa nchini badala ya kusafirishwa yakiwa ghafi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94O9A6hDbYo/VcReU1OyB0I/AAAAAAAAElc/DwwMSi3IKWs/s72-c/2.jpg)
WANAFUNZI NA WANANCHI WAFURAHIA BANDA LA CHUO CHA UFUNDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-94O9A6hDbYo/VcReU1OyB0I/AAAAAAAAElc/DwwMSi3IKWs/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lotPTiG3R8k/VcReW6COLMI/AAAAAAAAElk/NkTbq2vbtcw/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4GUi4tsxihQ/VcReZgOJupI/AAAAAAAAEls/KmWz-N-Ka2M/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Aug
BALOZI MDOGO WA KENYA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA SIMBA CEMENT KATIKA MAONYESHO YA NANE NANE ARUSHA
![IMG_1853](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/HRmjuMY9YOTbSvwEV6cS5KL8f2wcV9WfoU-Ajv3vf2eZz4WAQlalIqzYA2LBLND6tyBme2HOORaHm13oIi2D0n990S3zJWFg-HAzgHIxxaYKffylLHRUFE8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/img_1853.jpg?w=660)
![IMG_1863](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/RFZYXKQVlc_OR1OmpbqKzDAh4WddEy_zaOZbJLl3zk0K0SOl3HUHI6i569MI7UPY24NLyAoWOsvV1W5uW6g4mwmiFvvv64CdNawjc9KQBwzvQdNZ1ZJVekQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/img_1863.jpg?w=660)
10 years ago
Michuzi06 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA NANE NANE ARUSHA
![SAM_4795](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/dM087SFCQvycp15kOlYGYllcxsuHgPn3d3EcHfxpoS5d4OhlRvX8rTWWphqd4KLXujudZfzr52NW5oEoOnqbLmGdSBUST41T61ZMRFqLFWpLZ5s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/sam_4795.jpg)
![SAM_4802](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uLuA4RuhCgiz9zuY1qrYlvq0wz-HjwRfSlFYPwNmspFClJV9m0nqEVEGaPszI8tXRUwE3-3nbma3GUV-yZEg70iC2DKqFWsUNlcHMAs2wQUW2Jc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/sam_4802.jpg)
11 years ago
MichuziWananchi wamiminika banda la NHIF Nane Nane Lindi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VzgMOCLnFFo/VcINcDn352I/AAAAAAAHuXc/9XtRv-c_j1M/s72-c/image.jpeg)
BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
11 years ago
MichuziAZANIA BANK ILIVYOSHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE JIJINI ARUSHA
11 years ago
MichuziMaonyesho ya Nane Nane jijini Arusha
11 years ago
MichuziBANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU LAVUTIA NANE NANE DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CS00URYJY4o/VcWyPGP1FUI/AAAAAAAHvWE/SdBK_9_jn88/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Mhe. Membe atembelea BANDA LA NMB LINDI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS00URYJY4o/VcWyPGP1FUI/AAAAAAAHvWE/SdBK_9_jn88/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--DOnRmhtUJA/VcWyPAjzyXI/AAAAAAAHvWY/YcVOy2Z4Fns/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XluyWm0hZKw/VcWyPHDoixI/AAAAAAAHvWA/xVmfR1ZEQ2Y/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)