UMOJA WA ULAYA, UN: TUTAPIGANIA UHURU WA HABARI SIKU ZOTE
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0062.jpg)
Meza kuu katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari Duniani. Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa Umoja wa Vilabu vya waandishi wa Habari nchini (UTPC), Jane Mihanji, Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Bw. Ernest Sungura, Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Filiberto Sebregondi na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 May
Umoja wa Ulaya, UN; Tutapigania Uhuru wa Habari Siku Zote
UMOJA wa Nchi za Ulaya nchini Tanzania (EU) umepinga vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji wameokuwa wakifanyiwa na vyombo vya dola vya Serikali wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ambapo ilitokea mwanahabari mmoja kuuwawa. Alisema hawatachoka kukemea matukio hayo ya unyanyasaji kwani yanafifisha uhuru wa habari.
Akizungumza leo mjini Morogoro katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Kiongozi Mkuu wa Mabalozi hao, Balozi Filiberto Cerianse...
10 years ago
Michuzi05 May
SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
![Mwanahabari na Bloga, Majid Mjengwa akizungumza katika mkutano huo.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ESfPjd1dUaWIFZASS9mAqw7ETZwecz5byo3jTpOI6uUbFQ0ru5Gr5QwjvdZcK1DaaPu53vQXq4D7o7Ngg2YYQcclSaZakDGHNdINhwMpo2JlO93n4Y8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0853.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0010.jpg)
UMOJA WA MATAIFA: REDIO NYINGI HAZINA HABARI ZA USAWA WA KIJINSIA
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MISATAN-Chairperson-Simon-Berege-addresses-the-media-during-a-press-conference-to-introduce-World-Press-Freedom-Day-2015.jpg?width=640)
KONGAMANO LA UHURU WA HABARI WPFD KUFANYIKA MOROGORO MEI 2-3, WADAU ZAIDI YA 200 KUSHIRIKI
11 years ago
Dewji Blog06 May
Singpress yatoa msaada wa zaidi ya laki nane kwa Walemavu Siku ya Uhuru wa Habari
Mwalimu mkuu shule ya msingi mchanganyiko Ikungi waliya ya Ikungi, Olivary Kamilly, akizungumza ofisini kwake na wanachama wa klabu ya waandishi mkoa wa Singida, ambapo kwa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, walitoa msaada wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki nane kwa wanafunzi walemavu wakiwemo Albino katika shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANACHAMA wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s37BgFY42Lk/U2Z8FWP8QdI/AAAAAAAFfYM/ou7Aa3iRadg/s72-c/unnamed+(67).jpg)
wanahabari lindi washerehekea siku ya uhuru wa habari kwa kupima afya na kutoa misaada hospitali
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI