UN Family Day ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa yafana jijini Dar
Pichani juu na chini ni baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na watoto wa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipojumuika pamoja mwishoni mwa juma kushiriki michezo mbalimbali kwenye UN Family Day kusheherekea maadhimisho ya miaka 69 ya Umoja wa Mataifa tangu kuanishwa kwake.
Watoto wakifurahia kupakwa rangi usoni katika bonanza la UN Family Day ikiwa ni shamra shamra ya maadhimisho ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Mnuso wa Birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa wafana jijini Dar #UN70
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez akipokea wageni nyumbani kwake kwenye mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar.
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez (katikati) akimtambulisha mmoja wa wageni waalikwa kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Awa Dabo (kushoto).
Mwakilishi Mkazi wa Shirika...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01761.jpg)
UMOJA WA MATAIFA YAINYUKA WIZARA YA MAMBO YA NJE BAO 3-0 KWENYE BONANZA LA UN FAMILY DAY
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kufanyika Oktoba viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa pamoja na kutolea ufafanuzi malengo 17 ya maendeleo endelevu (SDGs) yenye lengo la kufuta kabisa umaskini.(Picha zote ne Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi27 Apr
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
![DSC_0354](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0354.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0351.jpg)
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Waliong’ara kwenye red carpet uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) katika picha ya kumbukumbu na Afisa Habari wa Shirika la UNFPA nchini, Sawiche Wamunza.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Yona Samo wa UNDP Tanzania.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa...
10 years ago
Vijimambo08 Dec
TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
EWURA Family Day ilivyofana jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1lGnYP_jxNg/VdLQGCvZMAI/AAAAAAAA4RE/cO4XcBeVnXU/s640/01.jpg)
Watoto wa familia za wafanyakazi wa wakishindana kukimbiaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao (Ewura Family Day) kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Ewura wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HdHdXUNxGI/VdLQQXa301I/AAAAAAAA4Rk/e7BPNtXH3pg/s640/DSC_0010.jpg)
Wakiwa katika mchezo wa Wavu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DI39zGYJH24/VdLQI4LLJTI/AAAAAAAA4RM/p8y52T70GPY/s640/DSC_0024.jpg)
Wakishindana kukimbia huku wakiwa kwenye magunia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EzPz13WIRwo/VdLQLqbA_kI/AAAAAAAA4RU/QkZDO7GH2Sw/s640/DSC_0053.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix...
10 years ago
GPLTICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR