Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Milioni 3.7 wana njaa S.Kusini

Umoja wa Matifa unakadiria kuwa takriban watu millioni 3.7 Sudan kusini wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Milioni 20 wakumbwa na njaa Sahel

Umoja wa Mataifa unaomba zaidi ya dola bilioni 2 kuweza kuwapa watu milioni 20 chakula katika kanda ya Sahel barani Afrika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Njaa na magonjwa yatishia S-Kusini

Umoja wa Mataifa una wasiwasi kuwa wanyonge wengi wa vita vya Sudan Kusini wanakabili njaa na magonjwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini na tishio la njaa

Kufuatia zaidi ya miezi 8 ya mapigano Sudan Kusini, sasa inakabiliwa na tishio la baa la njaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa

Mgogoro wa Sudani kusini waelezwa kusababisha ukosefu wa chakula

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini

Mashirika ya kimataifa ya misaada yameonya kuwa huenda Sudan Kusini ikakabiliwa na baa la njaa iwapo, mapigano hayatasitishwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Njaa Sudan Kusini inaweza kuzuilika

Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa UN, Valerie Amos ameonya, kuna uwezekano mdogo wa kuzuia baa la njaa Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yaepuka baa la njaa

Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa

Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani