Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Wanaoendesha uhalifu Syria kutajwa

Umoja wa Mataifa unapanga kuchapisha majina ya takriban watu 200 wanaotuhumiwa kuendesha uhalifu wa kivita nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vikosi vya Syria vyalaumiwa kwa uhalifu

Amnesty International limevilaumu vikosi vya serikali ya Syria kwa kutekeleza uhalifu wa kivita kila siku kwenye mji wa Allepo

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya Twiha kutajwa leo

Kesi ya Twiha kutajwa leo WASHITAKIWA wa kesi ya kusafirisha wanyama hai zaidi ya 100 wakiwamo twiga na ndege wa aina mbalimbali kwenda Qatar wanapandishwa mahakamani kwa mara nyingine tena...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda: Kutajwa urais ni vyema

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuwa siyo jambo baya kwake kutajwa kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao 2015 na kwamba kujitokeza pia ni jambo jema.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Zitto kutajwa leo

Zitto KabweKESI ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe dhidi ya chama hicho, itatajwa leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaosaka namba Stars kutajwa kesho

MCHAKATO wa ung’amuzi wa vipaji kwa ajili ya maboresho ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, ulioshirikisha wang’amuzi wa vipaji zaidi ya 40 umekamilika jana na majina ya nyota...

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya MCL na IPTL yaanza kutajwa

Kesi ya madai inayoikabili kampuni ya Mwananchi Communications Ltd iliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza kutajwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo

KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani