Upandikizaji wa mifuko ya uzazi kwa wanawake wenye ugumba
Ugumba ni tatizo la kifamilia linaloweza kusababisha manyanyaso kwa wanawake wengi katika ndoa. Tatizo hili pia linaweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa na hata wakati mwingine mwanamume kuoa mwanamke mwingine au kupata nyumba ndogo ili apate kuzaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara
>Baadhi ya wananchi na viongozi wao wanatetea nafasi ya wakunga kusaidia wajawazito kujifungua mkoani Manyara na wapo wataalamu wa afya ambao wanawatizama wakunga kama kundi lisilohitajika katika mchakato mzima wa afya ya mama na mtoto.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji
>Hapana shaka kuwa maelfu ya wanawake nchini waliowahi kupata huduma zake wanamkumbuka bado kwa msaada mkubwa aliowapa na kuwasaidia kushika mimba, kuwapa ushauri wa kitaalamu au hata kuwazalisha.
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanawake wanavyojiua, kujipa ugumba
Ripoti za hospitali nchini na Shirika la Afya Duniani (WHO), zinaonyesha kuwa baadhi ya wanawake hutoa mimba kwa njia zisizo salama, ambazo huharibu kizazi, kuwasababishia ugumba na wengine vifo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KEw8-pYFlGcWS7qwOK0nzLkFDcIoqo*x4QQJG9MpBoQ5ILgeuzGImlvgjleiBAL6*2GdJ3Haim-B*SNzttPPWM/Fallopian_Tube.png)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2
WIKI iliyopita tulizungumzia wanawake wanaokumbwa na tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi na tukawasihi kwamba wanaweza kutumia mti wa mlonge ili kutatua tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi, lakini kwa ufupi tu wangepata kujua ni jinsi gani wanaweza kukumbwa na tatizo kama hili: VYANZO
Vyanzo vya tatizo la kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni kama vile:
Kukumbwa na bakteria mbalimbali sehemu za siri, lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pl2AfYSHdf2nuKbMUysiwpYhB62X-lXpOljKog7MLoeGD*mFvlOnEeogFs9jJQ0RvjVnpmXNm-UuxnGKxUqEjU46idkrNwDn/mimba3.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE
Dk. Frank Ndiyanka
+255 713 112112 | +255 753 644644
LEO tutazungumzia mmea uitwao mlonge ambao ni moja ya mmea tiba unaotumika zaidi kumtibia mwanadamu.
Mmea huu katika pande zake zote hutumika zaidi katika matibabu, nikimaanisha kuanzia kwenye mizizi, magome, majani, pamoja na maua yake.
Mmea huu unaweza kumsaidia mwanadamu katika kutatua matatizo mbalimbali katika mwili wake na leo tutaanza na upande wa mwanamke...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango
Baadhi ya wanawake wanaamini kwamba wakitumia njia za kisasa wanaweza kuharibu maumbile yao ya mwili ya asilia pamoja na kupata ulemavu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09Vs8gGUr-LONbx3EudPm*lfORnH7NGC4WcHRVwfkVX-aybr0z*cQC4ZQmtSRVfH04LS7jd04FOU6Fqj4Uixdadf/huundiomtiwamlonge.jpg?width=650)
MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-3
WIKI iliyopita tuliishia kwenye dalili za tatizo linaloitwa Pelvic Inflammatory Diseases (PID), leo tutajikumbusha dalili hiyo na tutaendelea na upande mwingine. DALILI ZA PELVIC INFRAMATORY DISEASES (PID)
Dalili ya kwanza ilikua ni hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi ambayo kitaalamu inaitwa Dysmenorrheal, tulisema kwamba maumivu haya makali wakati wa hedhi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
DK. JUMA MWAKA: Tatizo la mfumo wa uzazi kwa wanawake ni kubwa
“MGONJWA akija na matatizo ya mfumo wa uzazi, chakula, mishipa ya moyo na mifupa…huwa sina wasiwasi kabisa kwa sababu najua lazima atapata tiba ya uhakika.” Hiyo ni kauli ya Daktari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania