Upinzani wambana Dk Migiro, AG bungeni
>Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha Rose Migiro, jana alibanwa bungeni baada ya wabunge wa upinzani kuhoji juu ya Muswada wa Sheria ya Kulinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi wa mwaka 2015 wakieleza umewahishwa bila sababu yoyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
10 years ago
Vijimambo15 May
Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
![](http://api.ning.com/files/rUrHnDSl8N-ApWqGWk-Km6KNT4Naj2ErRp0jbWz9QMYRlgZqrPltc1KW7nJeLPAbwi0OOVTmxWN3-AI3qFhhG4sZNTL9hmpc/mbowe_bunge.jpg?width=650)
1. UTANGULIZI:
Mheshimiwa Spika,
Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa katika harakati na shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika,Napenda kuchukua nafasi hii pia, kuwashukuru watanzania wote kwa ujumla kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko nchini. Shukrani hizi za pekee ziwafikie wenyeviti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXoXRfeCbLwCFfVI*v70FBCTbk4eHRC2SG7HIHJMjMeN15JNrz6jFFmhJYUTFr9qlptwrCWKbq8OS6sKIhfDQofW/BREAKING.gif)
KIMENUKA BUNGENI: BUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA UPINZANI KUGOMEA MISWADA
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeahirishwa ghafla leo baada ya wabunge wa upinzani kusimama na kukataa kutoka nje ili kuzuia miswada mitatu muhimu ya Gesi, Petroli na Uziduaji kusomwa kwa Hati ya Dharura. Hali hiyo imetokea baada ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika kuomba mwongozo juu ya uvunjaji wa kanuni za bunge kwa kuwekwa miswada mitatu sambamba. Spika wa Bunge, Anne Makinda aliwataka wabunge hao kutoka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA NDUGAI AGOMEA HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI KUSOMWA,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s400/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amekataa kusomwa kwa hotuba ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya Waziri Mkuu kwa kile alichoeleza kuwa zina shida ikiwemo kuwa na mambo mengi ya kubuni.
Amesema aliipata hotuba hiyo mapema na kuipitia ambapo amebaini kuwa na mambo mengi ya kubahatisha huku ikiwa haijazingatia kanuni za kiuandishi.
Amesema hawezi kuruhusu mambo ya mwaka wa kwanza na wa pili wa Bunge kufanywa katika mwaka wa tano na hivyo kusema...
11 years ago
Dewji Blog14 May
Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa
Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog
10 years ago
MichuziOfisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni yaandaa futari wakati wa kikao cha ukawa jijini Dar es salaam
10 years ago
Vijimambo20 Mar
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MHE. GODBLESS LEMA (MB),
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2114874/highRes/646181/-/maxw/600/-/beoeapz/-/lema+pix.jpg)
Mheshimiwa Spika,Muswada huu wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi unaletwa katika Bunge lako tukufu wakati ambapo nchi...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Mabalozi wa CCM wambana Kinana
Zaidi ya mabalozi 30 wakiwamo wenyeviti wa kitongoji na kata (CCM), wilayani Nkasi wamembana Katibu Mkuu wa chama hicho, Abddulrahiman Kinana wakimtaka atoe ufafanuzi kutokana na kukwama kwa ahadi mbalimbali za Rais Jakaya Kikwete.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania