Urais CCM waiweka pabaya Kamati Kuu
Mbio za urais ndani ya CCM sasa zimefikia pabaya baada ya kuibuka hofu ya kuwapo kwa mpango wa kuivuruga Kamati Kuu kabla ya haijakutana kuchuja majina ya makada watakaotakiwa kupigiwa kura na Halmashuri Kuu ili kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Escrow, urais vyatikisa Kamati Kuu ya CCM
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi jana mjini Unguja, Zanzibar chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kilitawaliwa na mjadala wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, imeelezwa.
Akizungumza jana jioni baada ya kikao hicho, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na Akaunti ya Tegeta Escrow, maadili ya viongozi na uchaguzi ndani ya chama hicho.
“Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya...
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Makada sita wa urais CCM kujadiliwa Kamati Kuu ijayo
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
WAKATI vuguvugu la kuwania kuteuliwa kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiendelea kupamba moto, Kamati Kuu (CC) ya chama hicho imesema adhabu waliyopewa makada sita walioonyesha nia ya kutaka nafasi hiyo, itapitiwa tena Februari na watakaobainika kuendelea kufanya makosa wataongezewa adhabu.
Katibu Mwenezi wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye, alisema suala hilo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho kilichokutana jana kisiwani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s72-c/necc.jpg)
Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rK-NDid3rmY/VXB3IUvsUwI/AAAAAAAAvIU/qGqyD16Bo8M/s640/necc.jpg)
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.1. Jakaya Mrisho Kikwete
2. Dr. Ally Mohamed Shein
3. Phillip Japhet Mangula
4. Abdulrahman Kinana
6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal
7. Mizengo Kayanza Peter Pinda8. Balozi Seif Ali Iddi
9. Anna Semamba Makinda
10. Pandu Amir Kificho
11. Rajab Luhwavi
12. Vuai Ali Vuai
13. Nape Moses Nnauye
14. Mohammed Seif Khatibu
15. Zakhia Hamdan Meghji
16. Asha Rose Migiro
17. Sophia...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Balozi Amina Salum Ali alivyovuka kiunzi cha Kamati Kuu
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s72-c/0L7C0086.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-LsCeC9lhGt8/U_QIlDeWPVI/AAAAAAAGA1U/FuyI5U8vP3E/s1600/0L7C0086.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-psSP19LECkg/U_QGL68tHoI/AAAAAAAGA08/OqLA7f8tyjU/s1600/dom2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNXirL_cw4w/VmWLiD7hbQI/AAAAAAAIKvc/6pcXvEZt-Vw/s72-c/cc8.jpg)
MWENYEKITI WA CCM JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA CCM, AKUTANA NA MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNXirL_cw4w/VmWLiD7hbQI/AAAAAAAIKvc/6pcXvEZt-Vw/s640/cc8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ixoFYeKFTo8/VmWLfzH6bAI/AAAAAAAIKu4/lDO1LO78cgc/s640/cc3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)