Usajili wa Sserunkuma si feki: Shirikisho Tanzania
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania limesema halina taarifa juu ya mchakato wa kumsajili kiungo wa ya Express ya Uganda Simon Sserunkuma kama ulighushiwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Vitambulisho vya uraia kuondoa usajili feki
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Shirikisho la ngumi Tanzania lina ukata.
9 years ago
Bongo512 Nov
Shirikisho la muziki Tanzania lampongeza Magufuli
![November](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/November-300x194.jpg)
Shirikisho la muziki nchini limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli kwa kasi ya utendaji aliyoanza nayo tangu aingie madarakani.
Rais wa shirikisho la muziki Tanzania, Addo November Mwasongwe
Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari Alhamis hii, rais wa shirikisho hilo, Addo November Mwasongwe amesema Magufuli hajaonesha kuwa rais anayefaa tu bali pia amekuwa mtetezi wa wanyonge.
“Ndugu wanahabari ziara za ghafla za ndugu Magufuli sio za kubezwa, ni za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
(i) Kila mkoa utakua na kituo cha kukuza na kuendeleza vipaji vya watoto (Regional Sports Centre). Mapato ya mchezo wa Ngao ya Hisani msimu huu yatatumika kuagiza kontena la vifaa (mipira size 3, 4, bips na cones) ambavyo vitasambazwa katika vituo vyote vya michezo vya mikoa.
(ii) Ubovu wa viwanja – Kamati ya Utendaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s72-c/tff_LOGO16.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s320/tff_LOGO16.jpg)
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s1600/index.jpg)
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo...