Ushindi wa Bashe kupingwa mahakamani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea ubunge wa CCM, Hussein Bashe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Bomoabomoa kupingwa mahakamani
10 years ago
Habarileo04 Nov
Chadema kumpinga Bashe mahakamani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM).
10 years ago
Habarileo05 Oct
Bashe: Achaneni na wapinzani, watatugawa
MGOMBEA ubunge wa CCM katika Jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe, amesema wapinzani wanataka kuwagawa wananchi kwa misingi ya udini na ukabila hivyo amewataka wananchi wasimchague mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu
Na Odace Rwimo, Nzega
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...
10 years ago
Habarileo15 Sep
Bashe: Magufuli anaakisi mabadiliko
MGOMBEA ubunge wa Nzega Mjini kupitia CCM, Hussein Bashe, amesema yeye ni muumini wa mabadiliko ndani ya CCM na kwamba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ndiye anayeakisi mabadiliko anayotarajia.
10 years ago
Raia Mwema30 Sep
Nchimbi ampamba Bashe Nzega Mjini
MJI wa Nzega mkoani Tabora wiki iliyopita ulitawaliwa na nderemo za aina yake wakati mgombea ubun
Christopher Gamaina
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Mgeja, Bashe wakutana faragha na Dk Magufuli
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Pinda kupingwa kwa maandamano Zanzibar
10 years ago
Vijimambo