Pinda kupingwa kwa maandamano Zanzibar
Vyama vya upinzani visiwani Zanzibar vimesema vitafanya kampeni ya kumshtaki Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa wananchi, iwapo hatojiuzulu kutokana na kashfa ya uchotaji wa Sh306 bilioni kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow, ili kulinda misingi ya uwajibikaji wa pamoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani
Taarifa kuhusu waandamanaji zimegonga vichwa vya habari ulimwenguni kote, wakipinga marufuku ya kukaa ndani kutokana na sababu za kiuchumi.
11 years ago
MichuziMAANDAMANO YA UZINDUZI WA SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR 2014 WAFANA LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sNWDXCOp9Ds/XkZADRCkrRI/AAAAAAAAmqU/jAgGaY3JAWo-bPwWy7jdv9BDTPVY9PeKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1f271011-c6f9-4745-a4db-4bb8f4f762c5.jpg)
MAANDAMANO YA UFUNGUZI WA SAUTI ZA BUSARA (CARNIVAL PARADE ) YATIA FORA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNWDXCOp9Ds/XkZADRCkrRI/AAAAAAAAmqU/jAgGaY3JAWo-bPwWy7jdv9BDTPVY9PeKgCLcBGAsYHQ/s640/1f271011-c6f9-4745-a4db-4bb8f4f762c5.jpg)
(Picha zote kwa hisani ya Link Reuben, Sauti za Busara).
![](https://1.bp.blogspot.com/-sNYDjkylX1I/XkZADcKzARI/AAAAAAAAmqY/noZJBWTstQEWcC-GY_DDdlEV6RAcR21SwCLcBGAsYHQ/s640/3e489964-f10a-4bd0-b708-3d218210ff9d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uDoIqbGa2Yg/XkZAEPEFv6I/AAAAAAAAmqg/mVLQ8dOA5zYLYwoy1fdvW5G3Zr96uxBTQCLcBGAsYHQ/s640/7f250838-33f6-4ad8-9179-bd8b7da811e2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CCfI48xTgR4/XkZADRnDB6I/AAAAAAAAmqc/3Hd1h_RkCsMXk7GmfEZ7Cz3yzqRTLfZnACLcBGAsYHQ/s640/24e7b392-6e26-4840-b8ce-64a71458b84f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s9JBwu5flvE/XkZAEZr6VpI/AAAAAAAAmqk/RtOm0CZs7mUjSUYPqGMMGKKtLvpTvZhqgCLcBGAsYHQ/s640/d2566697-aff3-454f-b19c-1ec92a1651ca.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRQAmVQ0o8A/XkZAERi3UkI/AAAAAAAAmqo/G1IH7GOYMFIDQpo3dR--083GwcW8w9VgQCLcBGAsYHQ/s640/de9d09a0-93f5-4cad-a5d6-8b427dc88469.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kRvyoyjm2cA/XkZAE3asViI/AAAAAAAAmqs/boTi4PCqeLU-xv9etdt15sYXf9_FMIUKgCLcBGAsYHQ/s640/e0d4702c-9987-4782-a35b-c06b293764d7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ji42Oi5mGcY/XkZAE8iVcuI/AAAAAAAAmqw/BjUy4lc4mFkDccMN4mm29xHYQTd589LkgCLcBGAsYHQ/s640/eccb7ebd-2398-4bea-aaf1-06124e1e4820.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1sf-RIDu9k8/XkZAFGdRxmI/AAAAAAAAmq0/fr_TyXJE2nAFNC-kp_U7m7BwmbKqE-w8wCLcBGAsYHQ/s640/fb2e1f73-071a-463e-b60f-7a30a481d21b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ov0VP_nJdKA/XkZAFTv6FrI/AAAAAAAAmq4/3745Wf65DAEPEykyg7qR8xkusze8Vus5wCLcBGAsYHQ/s640/fb3486ad-3d8a-418e-bee1-c49d7915c30f.jpg)
MAANDAMANO ya ufunguzi wa tamasha la 17 la Sauti za Busara (Carnival Parade) mchana wa Februari 13 limetia fora kwa vikundi zaidi ya 16 kuonyesha sanaa yao mitaani.
Paredi hilo la aina yake likiwa pamoja na wananchi mbalimbali lilitumia umbali wa kilometa 1.6 kutokea Mapinduzi Square hadi viunga vya Ngome Kongwe, katika bustani ya Forodhani.
Aina ya sanaa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Bomoabomoa kupingwa mahakamani
Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia amesema leo anatarajia kwenda mahakamani kupinga ubomoaji nyumba katika Bonde la Msimbazi kwa madai kuwa Serikali haijatimiza ahadi ya kuwagawia wakazi wengi wa maeneo hayo viwanja Mabwepande.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Ushindi wa Bashe kupingwa mahakamani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea ubunge wa CCM, Hussein Bashe.
10 years ago
TheCitizen06 Dec
Zanzibar opposition in fresh bid to get Pinda sacked
Opposition parties here are planning a special campaign to sensitize the people to reject the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, and force him to resign in the wake of the Tegeta Escrow account scandal.
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania