MAANDAMANO YA UZINDUZI WA SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR 2014 WAFANA LEO
Taswira mbalimbali za watu wa mataifa mbalimbali walioandamana kuashiria uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara mwaka huu Ngome Kongwe, Zanzibar. Kwa muda wa wiki nzima tamasha hilo litarindima ambapo watu na makundi ya muziki toka kila pembe ya dunia yatatumbuiza
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
MAANDAMANO YA UFUNGUZI WA SAUTI ZA BUSARA (CARNIVAL PARADE ) YATIA FORA ZANZIBAR

(Picha zote kwa hisani ya Link Reuben, Sauti za Busara).









MAANDAMANO ya ufunguzi wa tamasha la 17 la Sauti za Busara (Carnival Parade) mchana wa Februari 13 limetia fora kwa vikundi zaidi ya 16 kuonyesha sanaa yao mitaani.
Paredi hilo la aina yake likiwa pamoja na wananchi mbalimbali lilitumia umbali wa kilometa 1.6 kutokea Mapinduzi Square hadi viunga vya Ngome Kongwe, katika bustani ya Forodhani.
Aina ya sanaa...
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Sauti za Busara Zanzibar
11 years ago
Michuzi22 Apr
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wasanii 200 kushiriki Sauti za Busara 2014
VIKUNDI 32 kutoka ndani na nje ya nchi vimechaguliwa kufanya maonesho ya muziki kwenye tamasha la 11 la Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika viwanja vya kihistoria vya Ngome Kongwe visiwani...
10 years ago
GPLTAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA FEBRUARI 12-15 ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi
Tamasha la muziki la sauti za busara Zanzibar 2016 halitokuwepo

Yusuf Mahmoud, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions, amesema leo "Uamuzi huu haukuchukuliwa kwa wepesi”. Kawaida huwa tunatangaza tarehe za tamasha mwaka mmoja kabla. Lakini baada ya kufanya...
5 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA CRDB YANOGESHA TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA- ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi01 May
JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND LIVE ON SAUTI ZA BUSARA 2014
10 years ago
CloudsFM30 Jan
ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR