JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND LIVE ON SAUTI ZA BUSARA 2014
Mwanamuziki Mkongwe wa Reggae Tanzania. Jhikoman & Afrikabisa Band Live on Sauti Za Busara Festival 2014. Huyu ni Mmoja kati ya wanamuziki wakubwa wa Muziki wa Reggae hapa nyumbani Tanzania pamoja na Afrika Mashariki. Kwa sasa Jhikoman yupo katika Ziara yake ya Ulaya kufanya Maonyesho katika Nchi za mbali mbali.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_YxJIqDW4do/UxmiWKVTyvI/AAAAAAAFRts/CtJ_H4Der5k/s72-c/unnamed.jpg)
JhikoMan & Afrikabisa Band - Europe Tour 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YxJIqDW4do/UxmiWKVTyvI/AAAAAAAFRts/CtJ_H4Der5k/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j9jfdHex1ao/VIIaD8UUyWI/AAAAAAAG1dY/m2HSvLIA7yg/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND KUTINGISHA JIJI LA DAR DSEMBA 12, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-j9jfdHex1ao/VIIaD8UUyWI/AAAAAAAG1dY/m2HSvLIA7yg/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD1Emnml7-w/VIIaD9cCMAI/AAAAAAAG1dc/WSmE6lVKdSs/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JDsTXx8Rbo4/VIMtdm-rsrI/AAAAAAADPo0/0IikB_CnXIo/s72-c/10839921_10204487924851811_1510284850_o.jpg)
JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND KUTINGISHA JIJI LA DAR SIKU 12.12.2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-JDsTXx8Rbo4/VIMtdm-rsrI/AAAAAAADPo0/0IikB_CnXIo/s1600/10839921_10204487924851811_1510284850_o.jpg)
Mahali; Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni,mkabala na chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).Barabara ya Samora, mtaa wa Shaabani Robert kati ya Jiji la Dar-Es-Salaam.
www.jhikoman.com
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYd3YoiTwPk/VIMtc1EUk5I/AAAAAAADPok/bH9rpHqJTpQ/s1600/Jhikoman%2Bjukwaani%2Balipokuwa%2BEurope%2BTour%2B2014.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6_w4hokaypY/VIMtdNi7XsI/AAAAAAADPoo/YxZzjtDKwHo/s1600/Mfalme%2Bwa%2BReggae%2BJhikoma%2Bakiwa%2Bjukwaani%2Bna%2BDiva%2BTabia%2BMwanjelwa%2B%2Calipotumbuiza%2Bujerumani(picha%2Bmaktaba).jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j7Yv7F2zFNk/U0VHqxT103I/AAAAAAAFZck/oSMpBsfvS6Y/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Mwanamuziki Jhikoman & Afrikabisa band kuanza Europe Tour mwezi huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-j7Yv7F2zFNk/U0VHqxT103I/AAAAAAAFZck/oSMpBsfvS6Y/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wasanii 200 kushiriki Sauti za Busara 2014
VIKUNDI 32 kutoka ndani na nje ya nchi vimechaguliwa kufanya maonesho ya muziki kwenye tamasha la 11 la Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika viwanja vya kihistoria vya Ngome Kongwe visiwani...
11 years ago
MichuziMAANDAMANO YA UZINDUZI WA SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR 2014 WAFANA LEO
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Sauti za Busara 2014: Tamasha kubwa Afrika lenye changamoto lukuki
11 years ago
GPL26 Jun