Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND KUTINGISHA JIJI LA DAR DSEMBA 12, 2014

 Mfalme wa mziki wa Reggae barani Afrika Jhikoman mwenye makao yake mijini Bagamoyo,aiongoza bendi yake Afrikabisa katika shamra shamra za sherehe za kuadhimisha siku ya uhuru wa Tanganyika. Onyesho hilo linawashirikisha wasanii wengi.Mahali; Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni,mkabala na chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).Barabara ya Samora, mtaa wa Shaabani Robert kati ya Jiji la Dar-Es-Salaam.www.jhikoman.com  Sehemu ya ukumbi wa  Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni,mkabala na chuo cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND KUTINGISHA JIJI LA DAR SIKU 12.12.2014

Mfalme wa mziki wa Reggae barani Afrika Jhikoman mwenye makao yake mijini Bagamoyo,aiongoza bendi yake Afrikabisa katika shamra shamra za shereheza kuadhimisha siku ya uhuru wa Tanganyika.Onyesho hilo linawashirikishawasanii wengi litafanyika.
Mahali; Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni,mkabala na chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).Barabara ya Samora, mtaa wa Shaabani Robert kati ya Jiji la Dar-Es-Salaam.
www.jhikoman.com

 

11 years ago

Michuzi

JhikoMan & Afrikabisa Band - Europe Tour 2014

Jhikoman, Tanzania´s great Reggae Ambassador to represent Africa…SUNDAY MAGAZINE - Nairobi, KENYA Having internationally toured, Jhikoman and the Afrikabisa band has performed in well-known international music festivals such Mela in Oslo, Norway, World Village festival / Maalma Kylassa in Helsinki, Finland; Exeter Respect Festival in Exeter City-Devon UK and locally at ZIFF- Zanzibar International Film Festival, and Sauti za Busara in Zanzibar as well as Bagamoyo International Art ...

 

11 years ago

Michuzi

JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND LIVE ON SAUTI ZA BUSARA 2014

Mwanamuziki Mkongwe wa Reggae Tanzania. Jhikoman & Afrikabisa Band Live on Sauti Za Busara Festival 2014. Huyu ni Mmoja kati ya wanamuziki wakubwa wa Muziki wa Reggae hapa nyumbani Tanzania pamoja na Afrika Mashariki. Kwa sasa Jhikoman yupo katika Ziara yake ya Ulaya kufanya Maonyesho katika Nchi za mbali mbali.

 

11 years ago

Michuzi

Mwanamuziki Jhikoman & Afrikabisa band kuanza Europe Tour mwezi huu

Mwanamuziki mwashuhuri wa  Reggae Afrika mashariki Jhikoman kutoka  Bagamoyo Tanzania,anatarajiwa kuondoka nchini katikati ya mwezi huu April 2014 kuanza ziara ya miezi mitatu barani ulaya,ambapo atatumbuiza katika maonyesho makubwa ya kimataifa huko ughaibuni. Baadhi ya festival zitakazo funikwa na mwanamuziki huyo ni Helsink Film Festival kule Finland, na Norway na imebainika kuwa Jhikoman pia atashea uwanza moja wa gwaride na wazee wa kazi FFU Ughaibuni aka "watoto wa mbwa" Ngoma...

 

11 years ago

Michuzi

AFRICAN REGGAE AMBASSODOR JHIKOMAN KUTINGISHA JUKWAA TUBINGEN,UJERUMANI

Mwanamuziki maarufu wa reggae barani Afrika Jhiko Manyika aka Jhikoman kutoka Bagamoyo,Tanzania,anatarajiwa kupanda jukwaani katika maonyesho makubwa ya kimataifa ya 5th.International African festival Tubingen 2014,nchi ujerumani. Mwanamuziki huyo nguli wa reggae amepewa nafasi ya pekee ya kutumbuiza mara mbili kwa siku tofauti katika viwanja vya onyesho hilo Festplatz,Europa str. mjini Tubinge kusini mwa ujerumani, ambako maonyesho yatafunguliwa 17.julai 2014 hadi 20.Julai 2014,maonyesho ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band na Bodaboda Band ya Kidumu yatikisa jiji la Dar Escape One

DSC_0311

Skylight Band wakikamua jukwaani..Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Aneth Kushaba AK47, Sony Masamba na Sam Mapenzi  kwenye show maalum ya uzinduzi wa Video yao mpya ya “Kariakoo” uliosoindikizwa na Bodaboda Band ya msanii Kidumu kutoka jijini Nairobi uliofanyika kwenye kiota cha Escape One.

DSC_0308

DSC_0230

Mrembo Neema Mbuya alikuwepo kuwahudumia wageni 100 wa kwanza na Tequila shots.

DSC_0341

wageni wakihudumiwa Tequila shots!

DSC_0368

Divas wa Skylight Band wakiongozwa na Aneth Kushaba AK47 kutoa burudani kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NGOMA AFRICA BAND KUTINGISHA MAMLING FESTIVAL- AUSTRIA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria wanameisubiria...

 

10 years ago

GPL

INAFRIKA BAND KUTOKA DAR WATINGISHA JIJI LA BREMEN,UJERUMANI

Inafrika Band aka Wazee wa Indege wakifunika bila ya huruma mjini Bremen,Ujerumani. Inafrika Band wakifanya kweli bremen,Ujerumani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yatikisa jiji la Dar Nyama Choma Festival

DSC_0326

Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es Salaam.

DSC_0332

Mashabiki wakiwa wameshona kwenye viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika Nyama Choma Festival huku Skylight Band wakitoa burudani ya aina yake.

DSC_0010

Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani sambamba na Digna Mbepera kwa mashabiki wa muziki wa Live Band kwenye tamasha la Nyama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani