Mgeja, Bashe wakutana faragha na Dk Magufuli
Baadhi ya makada wa CCM waliokuwa katika kambi ya aliyekuwa mgombea urais wa CCM, Edward Lowassa jana walijitokeza katika mkutano wa mgombea aliyepitishwa na chama hicho, Dk John Magufuli, Nzega, Tabora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Wapinzani wakutana faragha na Rais Magufuli Ikulu Dar es Salaam
11 years ago
Mwananchi03 May
Karume, Maalim Seif wakutana faragha Z’bar
9 years ago
Habarileo15 Sep
Bashe: Magufuli anaakisi mabadiliko
MGOMBEA ubunge wa Nzega Mjini kupitia CCM, Hussein Bashe, amesema yeye ni muumini wa mabadiliko ndani ya CCM na kwamba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ndiye anayeakisi mabadiliko anayotarajia.
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Bashe, Kigangwalah wammwagia sifa za urais Dk Magufuli Nzega
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mikono wananchi aqlipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabota.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akipanda jukwaani katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akisalimiana na Spika wa zamani wa Bunge la...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Magufuli, Shein wakutana Ikulu
RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein Ikulu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mazungumzo hayo jana, Rais Shein amesema lengo la mazungumzo hayo, ilikuwa kumpa taarifa Rais Magufuli, kuhusu hali ya mazungumzo ya kisiasa yanayoendelea huko Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Habarileo05 Oct
Bashe: Achaneni na wapinzani, watatugawa
MGOMBEA ubunge wa CCM katika Jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe, amesema wapinzani wanataka kuwagawa wananchi kwa misingi ya udini na ukabila hivyo amewataka wananchi wasimchague mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Ushindi wa Bashe kupingwa mahakamani
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu
Na Odace Rwimo, Nzega
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Chadema kumpinga Bashe mahakamani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Nzega mkoani Tabora kimetangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM).