UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA MALARIA KUANZA RASMI TAREHE 21 AGOSTI, 2015
![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun3eU8jWkBkY0Q7-XSGbUiuEayl4GvRDsQ7z02VjCJhDqV1eIj33AciH5*QJ4bEAUL18WrfU96mSAuekvt*ohlk0/PICHANAMBA1.jpg)
Mgeni rasmi, Mwakilishi wa Katibu Mkuu, Dkt. Ahmed Makuwani kutoka Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii akiwahutubia Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 wakati wa hafla fupi ya kufunga mafunzo ya utafiti huo iliyofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akielezea umuhimu wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Aug
Utafiti afya ya uzazi na mtoto kuanza Agosti
WITO umetolewa kwa viongozi wote wa Serikali katika ngazi zote na wananchi kwa ujumla kutoa ushirikiano kwa Wasimamizi, Wahariri na Wadadisi wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria utakaoanza rasmi Agosti 21, 2015.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3gs8pK2Xuhs/Va-jC7z-rTI/AAAAAAAHrFU/caz7MHONI1Q/s72-c/UFUNGUZI%2B1.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAENDESHA MAFUNZO YA UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA MALARIA TANZANIA, 2015 MOSHI, KILIMANJARO.
"Kutokana na umuhimu wa...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yaendesha mafunzo ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na Malaria jijini Moshi, Kilimanjaro
Mgeni rasmi, Mkurugenzi wa Kinga, Dkt. Neema Rusibamayila kutoka Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii akiwahutubia washiriki wa mafunzo ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 yaliyofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu akitoa maelezo ya awali wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 yaliyofanyika leo Moshi,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SNYrO9Je1Q4/VbBtIUquhFI/AAAAAAAASng/orw4pDE5M6I/s72-c/E86A7095%2B%25281280x853%2529.jpg)
WASIMAMIZI, WAHARIRI NA WADADISI WA UTAFITI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO NA MALARIA WA MWAKA 2015,WAPEWA MAFUNZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-SNYrO9Je1Q4/VbBtIUquhFI/AAAAAAAASng/orw4pDE5M6I/s640/E86A7095%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TrC_4ZMYVHE/VbBtFyYZC4I/AAAAAAAASnI/g0axwGFGfPo/s640/E86A7076%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P8AYuyItuaI/VbBtNLImL8I/AAAAAAAASn0/hOvdl5u7N4s/s640/E86A7104%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zFEGxGXD3to/VbBtSdxIe8I/AAAAAAAASoM/uk9LR_RnCC4/s640/E86A7121%2B%25281280x853%2529.jpg)
Mkurugenzi wa Kinga ,Wizara ya Afya na...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9sn7BSdig7w/VcsS-J02ypI/AAAAAAAD3FE/SjYa2dVpICI/s72-c/diaspora%2Btentative%2Bprogramme%2B-%2BFinal%2B1-1%2B%25281%2529.jpg)
KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZA ALHAMISI AGOSTI 14, 2015 HOTELI YA SERENA
1. Kujiandaa kikamilifu kwa kupitia "brief concept Note" ya Kongamano hilo ambayo nimeambatanisha;
2. kupitia ratiba ya masuala yatakayojiri katika kongamano hilo ambayo pia nimeambatanisha; na
3. kuhakikisha kuwa mmejiandikisha kushiriki kongamano hilo kupitia...
10 years ago
Michuzi22 Jan
9 years ago
GPL31 Oct
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia tarehe 25 kituo cha afya Kibaoni apewa jina la Magufuli
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa amembeba mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia tarehe 25,-10-2015 na kupewa jina la Magufuli katika kituo cha Afya cha Kibaoni wilayani Mlele Oktoba 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).