Utengezaji wa dawa za kulevya wapungua
UN imesema kuwa kumekuwa na upungufu mkubwa katika utengenezaji na uuzaji wa dawa za kulevya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
10 years ago
Mwananchi20 May
Biashara ya dawa za kulevya
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Silaha, dawa za kulevya zinaingiaje?’
MBUNGE wa Viti Maalum Moza Abeid (CUF) ameihoji serikali na kutaka itoe maelezo ni kwa njia gani zinatumika kuingiza bidhaa mbalimbali nchini kinyume cha sheria ikiwa ni pamoja na uingizaji...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
DC ahimiza vita dawa za kulevya
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mmarekani adakwa na dawa za kulevya
9 years ago
Habarileo30 Dec
Dawa za kulevya tishio Z’bar
KUONGEZEKA kwa matumizi ya dawa za kulevya kwa vijana kunatajwa kama moja ya sababu kubwa za kuwepo kwa idadi kubwa ya wagonjwa wenye matatizo ya akili Zanzibar.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Utumiaji dawa za kulevya waongezeka
MATUMIZI ya dawa za kulevya nchini yameongezeka kwenye mikoa 12 nchini yakionesha dawa aina ya heroini na bangi zikiongoza kwa kutumiwa zaidi.