Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uteuzi wafanyika Ikulu

RAIS Jakaya Kikwete amewateua wasaidizi wake wawili akiwemo aliyewahi kuwa Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa CCM(UVCCM), Martine Shigela ambaye anakuwa msaidizi wa Rais (Siasa).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Uteuzi kutoka Ikulu

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Kissiok Ole Mbille Lukumay kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma.

Aidha, Rais Kikwete amemteua Bwana Onesmo Hamis Makombe kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Taarifa iliyotolewa usiku wa jana, Alhamisi, mjini Dar es Salaan na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa maofisa hao wawili ulianza Ijumaa ya Machi 27,...

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yawajia juu wanaobeza uteuzi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MJADALA kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri jipya lililotangazwa karibuni hauna maana na ni kupoteza muda, imeelezwa.

 

5 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA,WOTE KUAPISHWA KESHO IKULU JIJINI DAR ES DALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli

 

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'


Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

 

11 years ago

GPL

USAILI ROLLING STONE WAFANYIKA

   Baadhi ya wachezaji wakiwa kwenye foleni wakisubiri usaili huo.     Usaili ukiwa unaendelea.   …

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU WA SIMBA SC WAFANYIKA

Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti Simba SC, Evance Aveva akiongea na wanachama wakati wa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo unaofanyika katika bwalo la polisi, Oysterbay, Dar. Wanachama wa Simba wakipiga kura kuwachagua viongozi wao.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa ubunge wafanyika Uturuki

Uturuki inandaa uchaguzi wake wa ubunge leo Jumapili

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa ubunge wafanyika Burundi

Uchaguzi wa ubunge unaendelea nchini Burundi licha ya wiki ya maandamano ya ghasia dhidi ya uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa masineta wafanyika Liberia

Shughuli za upigaji kura zinaendelea nchini Liberia kuwachagua maseneta wapya licha ya kuwepo kwa hofu ya kusambaa kwa ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani