Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa ubunge wafanyika Uturuki

Uturuki inandaa uchaguzi wake wa ubunge leo Jumapili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa ubunge wafanyika Burundi

Uchaguzi wa ubunge unaendelea nchini Burundi licha ya wiki ya maandamano ya ghasia dhidi ya uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa masineta wafanyika Liberia

Shughuli za upigaji kura zinaendelea nchini Liberia kuwachagua maseneta wapya licha ya kuwepo kwa hofu ya kusambaa kwa ebola

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU WA SIMBA SC WAFANYIKA

Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti Simba SC, Evance Aveva akiongea na wanachama wakati wa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo unaofanyika katika bwalo la polisi, Oysterbay, Dar. Wanachama wa Simba wakipiga kura kuwachagua viongozi wao.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Haiti wafanyika miaka 4 baadaye

Wananchi wa Haiti wanashiriki kwenye uchaguzi wa wabunge leo.

 

9 years ago

Habarileo

Yametimia, uchaguzi wafanyika kwa amani

UCHAGUZI Mkuu wa tano wa Tanzania tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, umefanyika kwa amani na utulivu kote nchini, na Watanzania wakipongezwa kwa ukomavu waliouonesha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Sri Lanka wafanyika leo

Uchaguzi wa Sri Lanka wafanyika leo, Rais wa nchi hiyo anapambana na mshirika wake wa zamani

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA WABUNGE WAFANYIKA BURUNDI LICHA YA UPINZANI KUSUSA

Zoezi la upigaji kura nchini Burundi. UCHAGUZI wa wabunge unaendelea nchini Burundi licha ya maandamano na ghasia dhidi ya uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu. Habari zaidi, ingia hapa:===>>>http://wp.me/p6irf2-2f9

 

10 years ago

Michuzi

Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani

 Wananchi wa Burundi leo wamepiga kura kumchagua Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Uchaguzi huo umefanyika katika mazingira ya amani ingawaje kwa upande wa jiji la Bujumbura wananchi walianza kujitokeza zaidi mchana Wananchi wakipiga kura Bujumbura  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega. Mawanamama akipiga kura yake  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega.Bango la wagombea nafasi ya Urais wa Burundi

 

10 years ago

Michuzi

Uchaguzi Mdogo kuchagua rais Nchini Zambia wafanyika leo

Msururu wa wapiga kura katika kitongoji cha Kanyama nje ya jiji la Lusaka leo asubuhi                                           

 Leo wananchi wa Zambia wanafanya Uchaguzi mdogo kumchagua Rais wa sita tangu wa nchi hiyo tangu ipate uhuru mwaka 1964. Uchaguzi huu unafanyika kufuatia kifo cha Rais Michael Chilufya Sata, kilichotokea tarehe 28 Oktoba 2014, mjini London Uingereza alikokwenda kwenye matibabu. Rais Sata aliingia madarakani Septemba 2011.
Mshindi katika uchaguzi huu atatawala hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani