Uteuzi kutoka Ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Kissiok Ole Mbille Lukumay kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma.
Aidha, Rais Kikwete amemteua Bwana Onesmo Hamis Makombe kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.
Taarifa iliyotolewa usiku wa jana, Alhamisi, mjini Dar es Salaan na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa maofisa hao wawili ulianza Ijumaa ya Machi 27,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jul
Uteuzi wafanyika Ikulu
RAIS Jakaya Kikwete amewateua wasaidizi wake wawili akiwemo aliyewahi kuwa Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa CCM(UVCCM), Martine Shigela ambaye anakuwa msaidizi wa Rais (Siasa).
11 years ago
Habarileo29 Jan
Ikulu yawajia juu wanaobeza uteuzi
MJADALA kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri jipya lililotangazwa karibuni hauna maana na ni kupoteza muda, imeelezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
NEWZ ALERT: RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA,WOTE KUAPISHWA KESHO IKULU JIJINI DAR ES DALAAM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFZzXslIrlo/Xu9s2bLTmMI/AAAAAAALu1Y/fWg4LOBMda0BRyq73Vm3mzdgtkeQVlcGQCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CcHE5_oYEuI/Xu9s2SBWM4I/AAAAAAALu1U/d5ii_kbhYOsMoqMwCtUVJFuKKhYTWVJcgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B4.55.11%2BPM.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nNmS4malNZQ/XtJ0inB48fI/AAAAAAAC6ZI/ZY3S2zsMc3Y308wTff7UHkOepdvSj2CrgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-32bAYB2feIM/VIcSzgl-4rI/AAAAAAADJu4/XdZtnGg4BQA/s72-c/photo_39499.jpg)
Taarifa Rasmi Kwa Umma Kutoka IKULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-32bAYB2feIM/VIcSzgl-4rI/AAAAAAADJu4/XdZtnGg4BQA/s1600/photo_39499.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NB98JS7vnzI/VIcTSVB96hI/AAAAAAADJvA/p-0AJQ1K28k/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Mhe. Rais ameanza kazi rasmi kwa kumwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Daudi Felix Ntibenda katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam.
Kwa kuanzia Mhe. Rais atakuwa anafanya kazi za ofisini na kwa muda mchache. Muda na kasi ya kufanya kazi ya Mhe....
11 years ago
GPLUFAFANUZI KUTOKA IKULU KUHUSU TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne Ikulu, Dar es salaam. Katika mzungumzo yao wamezungumzia mambo mbalimbali kuhusu mustakabali wa Serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa na kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu Gerson Msigwa alisema yaliyojiri katika Mazungumzo […]
The post Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kilichonifikia kutoka Ikulu ni kuhusu kuapishwa kwa Makatibu wakuu..
Jana Rais John Magufuli alitangaza makatibu wakuu na manaibu wake wapya katika Wizara mbalimbali. Ikiwa ni siku moja tangu atangaze, Rais kesho Januari 1 anatarajia kuwaapisha rasmi katika viwanja vya Ikulu, Dar es salaam kisha kusaini hati ya ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma. Katika taarifa ya Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue imesema zoezi […]
The post Kilichonifikia kutoka Ikulu ni kuhusu kuapishwa kwa Makatibu wakuu.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kyOfYiu5sxE/U7bWLvj-TRI/AAAAAAAFu9s/ODhRJlnwFP0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK apokea hati za utambulisho ikulu kutoka kwa mabalozi wanne