Utouh: Dalili za nchi kutotawalika zinaonekana
Aliyekuwa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu ya nchi ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali isipofanya kazi bila kuangalia mipaka yao kwa mujibu wa sheria nchi haitatawalika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Zinaonekana ishara za Kenya kuwa nchi inayobadilika
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aEnrGp_ipL0/VJf6MB_FRjI/AAAAAAAG5BM/lCEb_BJWKFU/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-22%2Bat%2B2.00.48%2BPM.png)
MIHIMILI MITATU ISIPOELEWANA NCHI HAIWEZI KUTAWALIKA - UTOUH
![](http://2.bp.blogspot.com/-aEnrGp_ipL0/VJf6MB_FRjI/AAAAAAAG5BM/lCEb_BJWKFU/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-22%2Bat%2B2.00.48%2BPM.png)
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG),Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu iwekewe mipaka na kuangalia isiingiliane katika utendaji wake wa kazi kuruhusu kwake kuingiliana ni kufanya serikali isitawalike.
Hayo amesema leo jijini Dar es Salaam katika kupokea tuzo ya uadilifu kutoka kwa Kampuni ya Dream Success Enterprises kutokana na kutambua umuhimu wa utendaji wake wa kazi.
Alisema kuwa mihimili mitatu isipojua mipaka yake itawaweka...
10 years ago
TheCitizen10 Jan
Ending graft: It’s now or never, says Utouh
10 years ago
Habarileo20 Sep
CAG Utouh astaafu
ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.
10 years ago
Habarileo23 Dec
Utouh awalipua wabunge
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema baadhi ya wabunge hawazijui sheria walizozitunga na hivyo kujikuta wakitoa maamuzi ambayo hupingana na sheria hizo.
10 years ago
IPPmedia20 Sep
Who will replace Utouh, the CAG?
IPPmedia
A Buzz has started in Dar es Salaam on who is likely to take over as Controller and Auditor General as the current CAG Ludovick Utouh prepares to leave office. The CAG's Office is one of the most high profile public functions, where personal style matters ...
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
SEARCH FOR UTOUH NEW SUCCESSOR BEGINS
10 years ago
TheCitizen16 Sep
Search for Utouh successor begins