Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utouh: Dalili za nchi kutotawalika zinaonekana

Aliyekuwa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu ya nchi ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali isipofanya kazi bila kuangalia mipaka yao kwa mujibu wa sheria nchi haitatawalika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dalili za ushindi dhidi ya Ukimwi sasa zinaonekana

Tangu ulipogunduliwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980, Ukimwi umeendelea kuwa miongoni mwa magonjwa yanayosumbua wataalamu wa sayansi ya tiba na watafiti wa magonjwa ya binadamu kwa muda mrefu

 

11 years ago

Mwananchi

Zinaonekana ishara za Kenya kuwa nchi inayobadilika

>Nyakati zimebadilika.  Ishara zilizotanda na kugubika anga za siasa katika Kenya zinaashiria jambo.

 

10 years ago

Michuzi

MIHIMILI MITATU ISIPOELEWANA NCHI HAIWEZI KUTAWALIKA - UTOUH

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG),Ludovick Utouh amesema mihimili mitatu iwekewe mipaka na kuangalia isiingiliane katika utendaji wake wa kazi kuruhusu kwake kuingiliana ni kufanya serikali isitawalike.
Hayo amesema leo jijini Dar es Salaam katika kupokea tuzo ya uadilifu kutoka kwa Kampuni ya Dream  Success Enterprises kutokana na kutambua umuhimu wa utendaji wake wa kazi.
Alisema kuwa mihimili mitatu isipojua mipaka yake itawaweka...

 

10 years ago

TheCitizen

Ending graft: It’s now or never, says Utouh

The government faces two major challenges that must be dealt with immediately--corruption in public institutions and lack of accountability, according to the immediate former controller and auditor-general, Mr Ludovick Utouh.

 

10 years ago

Habarileo

CAG Utouh astaafu

ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.

 

10 years ago

Habarileo

Utouh awalipua wabunge

Ludovick UtouhALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema baadhi ya wabunge hawazijui sheria walizozitunga na hivyo kujikuta wakitoa maamuzi ambayo hupingana na sheria hizo.

 

10 years ago

IPPmedia

Who will replace Utouh, the CAG?


Who will replace Utouh, the CAG?
IPPmedia
A Buzz has started in Dar es Salaam on who is likely to take over as Controller and Auditor General as the current CAG Ludovick Utouh prepares to leave office. The CAG's Office is one of the most high profile public functions, where personal style matters ...

 

10 years ago

KwanzaJamii

SEARCH FOR UTOUH NEW SUCCESSOR BEGINS

CAG Ludovick Utouh Dar es Salaam. As Ludovick Utouh retires from the post of Controller and Auditor General (CAG), the huge question looms: who will succeed him in one of the country’s most powerful jobs? Mr Utouh’s tenure ends officially on Friday. According to details gathered by The Citizen, names of three respected Tanzanians are poping up as potential successors, but only one of them would be appointed by President Jakaya Kikwete. Impeccable sources told The Citizen that Mr Pius...

 

10 years ago

TheCitizen

Search for Utouh successor begins

As Ludovick Utouh retires from the post of Controller and Auditor General (CAG), the huge question looms: who will succeed him in one of the country’s most powerful jobs? Mr Utouh’s tenure ends officially on Friday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani